<br />
<br />
Sorry to disappoint u, lkn ukiona mwanamke hajitumi kitandani jua weye ndio horrible kwani humpandishi/humhamasishi! Nani kakwambia lengo la mwanamke ni kumfurahisha mwanaume? U will be dissappointed to know kuwa mwanamke humake love kwa enjoyment yake, in the process anakufurahisha nawe!
Now about wanawake wazuri kutoolewa, ni kutojiamini kwa wanaume tu! Mnakuwa na wasiwasi kuwa wengine waliojuu yako wanaweza mcharm na kukuacha ndio maana mnaishia kuoa less attractive ila mkiendelea kutamani wadada wazuri! Just shame the devil by being a little honest!