Wanawake wazuri na wenye makalio makubwa wamekua daraja la kuangamiza taasisi ya ndoa

Kama wewe hizi ndio type yako tena weupee halafu unatoa wallet yote inaisha wanasepa aka
 
Si kila mtu ni mwenye tamaa ya Uzinzi kama hiyo! Kuna wengine wameridhika na wake zao hata wakiona wanawake wenye shepu hizo za uzinzi, hawaoni kitu bali wanaendelea na maisha yao!
Siku zote iambie nafsi yako" HAKUNA MWANAMKE MZURI DUNIANI ZAIDI YA MKE WANGU"!
 
🤣🤣🤣🙌🤝
 
🤝🤣 Na huu ndo ukweli
Vijana sshv mmesanuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…