Wanawake wengi wa mijini 16-28 yrs MCHARUKO sana

Jay One

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
18,042
Reaction score
19,787
Wawe na elimu au la, wengi wa wanawake tena wengine wameolewa walio kwenye age 16-28 MCHARUKO yaani hawajatulia hasa wa mijini, hata wakiwa na kazi au wawe wanafunzi or at home, kumbuka wengi wanapenda maisha ya juu, meanwhile uchumi hauruhusu sana, so mcharuko unaanza step by step, boyfriends 2, 3, 4, .....,, mcharuko unaendelea.... Ukiuliza utaambia ....JUST A FRIEND.... ila dalili si za just a friend is more than that, kumbe just a friend anakula mzigo as usual, Mcharuko mijini imezidiii, watch out...!!!
 
We nawe unachekeshaga kweli na findings zako!!

Nwy bora mimi sio wa mjini!
 
Tabia na mtazamo wa mtu tu kulingana na silika yake. Na hutokana na programu tasa ambazo zimepandikizwa katika bongo zetu bila kujua tunaharibu kwa maneno ya ulimini. Research upya ulete na ya wanaume tunakuaje umri huo?
 
Makuzi hayo ila wengine mbona utulivu A. Oops kumbe mimi wa mpwapwa sio mjini.
 
We nawe unachekeshaga kweli na findings zako!!

Nwy bora mimi sio wa mjini!

Unamaanisha kule kunakoitwa Dar?
Mmh! Mbona wanawake/wanaume mjini/vijijini tabia zilezile tu sema hivi kuna personal differences on how we behave.
 
Mmh! Mbona wanawake/wanaume mjini/vijijini tabia zilezile tu sema hivi kuna personal differences on how we behave.
I know that...YOU know that but HE doesn‘t!!!Sijui mji anaouongelea ila kwa vyovyote haunihusu maana mi ni wa kijijini!
 
mr president tumekukosea nini?naona topic za wanawake this,wanawake that imekuwa too much?
 
Maybe...maybe not!Depends on what kinda resources you are talking about!

That involved for flying colours in a given field i.e for luv beautiful wives suspected to come from rural residence, with good morals and faith.
 
hii kitu ya MR raisi inazungumzika kuna kina dada kwa kweli ni aibu
watu hacheni kuipinga kama kundi hii hoja inazungumzika maana hipo na kila mwanaume
anayekaa maeneno husika anaweza kuasema ni kweli.
no offence wakina dada wanatumia vibaya resources
sorryyyyyyyyyyy

mr president tumekukosea nini?naona topic za wanawake this,wanawake that imekuwa too much?

Maybe...maybe not!Depends on what kinda resources you are talking about!

That involved for flying colours in a given field i.e for luv beautiful wives suspected to come from rural residence, with good morals and faith.
 


Wanakua hawajakosea Mr P…
binti akiwa na wanaume more than one,
mpenzi wa kweli ni mmoja alafu wengine ni just friends…
ila tunaita friends with benefits…
 

pole mkuu
 
Kitanda usichokilalia, kunguni wake wawajulia nini??
 
tusinyimane uhuru wa kuishi tunavyotaka
nani kakulazimisha uwe na mcharuko?????????????
 
wengi wa wanawake wa mjini au wengi wa wanawake unaokutana nao wewe? na kama kila ukikukuruka ndo aina ya wanawake unaokutana nao hebu jicheki vizuri wewe mwenyewe:redface:
 
mr president tumekukosea nini?naona topic za wanawake this,wanawake that imekuwa too much?
Nimeona bora niongelee ya wanawake hapa mmu, maana next year naoa, kuliko niongelee siasa njaa za kina kinda Nape, hapa naburudika sana, jukwaa la siasa napitaga siku hizi, Ni hivi kisukari siwaonei wanawake 16 -28 yrs wengi hasa hasa DAR mcharuko saaana tena wakikujua wengine wanakutongpza / wanajirahisisha kutakavmshiko tu, one woman wanaume kibao, najua huamini, hata wanafunzi wa vyuo wako hivyo hivyo 1 woman for many many men, mcharuko tu, kupanua miguu juuuu each time, maje a visit here ni Dar, ujue, stay a month angalia, halafu kisukari, Maria Roza ndiye mke wangu mtarajiwa umemwona? maana nimemzuia asiwe anahudhuria sana jukwaa la wakubwa, kapotea huyu mchumba
 

utafiti wako unatia shaka kidogo mtumishi kwani unaposema wengi ni vigumu kujua ni wengi kiasi gani kwani kwa uzoefu wangu wingi unaanzia mbili.ungetaja asilimia ningeweza kukubaliana nawe ila huu utafiti wako inaonekana umeufanyia kwenye keyboard yako.
 
Ni kweli kabisa inashangaza sana mwanamke kaolewa lakini anakuwa macho juujuu...
 
Mm sitombani hovyo jua hilo kwanza, mcharuko mkubwa sana hapa Dar currently, between hiyo age, na tunaona sio kisa nakutana nao labda kimwili, sitombi hovyo kama kuku, chakula cha usiku ninaye nimkazae mmoja, get that, thanx
Hii lugha kali mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…