Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Wawe na elimu au la, wengi wa wanawake tena wengine wameolewa walio kwenye age 16-28 MCHARUKO yaani hawajatulia hasa wa mijini, hata wakiwa na kazi au wawe wanafunzi or at home, kumbuka wengi wanapenda maisha ya juu, meanwhile uchumi hauruhusu sana, so mcharuko unaanza step by step, boyfriends 2, 3, 4, .....,, mcharuko unaendelea.... Ukiuliza utaambia ....JUST A FRIEND.... ila dalili si za just a friend is more than that, kumbe just a friend anakula mzigo as usual, Mcharuko mijini imezidiii, watch out...!!!