Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 896
Source please!!!!!!!!!!
kuna wanawake wana bahati eeeh....
mimi huyo mwanaume mmoja tu nimekosa.....
kumbe ndo maana sipati mwanaume....
kumbe wenzangu wamejiacummuletia macontena kwa macontena bana....
oooh poor me smile...
nitaishia kuangalia kwa macho..loh
so nianze kusagula sagula....:biggrin1: we si unachagua...wenzako ni sagula sagula....
Wadau MMU.
Asilimia 70 ya wanawake wana mahusiano ya kimapenzi zaidi wanaume watatu mpaka watano.
Hii tabia ya wanawake kuwapanga wanaume kila mmoja na majukumu yake inazidi kukuwa kwa kasi ya ajabu.
Mwanamke wako akikuheshimu sana basi atakuwa na mwanaume mmoja.
Unakuta mwanamke yupo kwenye ndoa yake lakini anasema wazi siwezi kuaacha ma boyfriends zangu.
wadau mmu.
Asilimia 70 ya wanawake wana mahusiano ya kimapenzi zaidi wanaume watatu mpaka watano.
Hii tabia ya wanawake kuwapanga wanaume kila mmoja na majukumu yake inazidi kukuwa kwa kasi ya ajabu.
Mwanamke wako akikuheshimu sana basi atakuwa na mwanaume mmoja.
Unakuta mwanamke yupo kwenye ndoa yake lakini anasema wazi siwezi kuaacha ma boyfriends zangu.
kwa sisi watafiti
ukiandika hivi swali la kwanza ntakalo kuliza je unaushahidi wa ku justfy haya uliyoyanena??
Yaelekea ni maswali na majibu kwa mujibu wa halmashauri ya kichwa chako peke yako.