Wanawake wengi wanahamasisha nyumba ndogo

Wanawake wengi wanahamasisha nyumba ndogo

Mzalendo Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
735
Reaction score
191
Wanawake wengi wanachangia sana kwa waume zao kuwa na vidumu aka nyumba ndogo. Mkiwa pamoja mwanamke ana visababu vingi sana vya kumfanya asiwajibike. Hivyo inawafanya wababa watoke (kidooogo) ili kurekebisha afya zao. Of course huko kwenye vidumu hakuna kulala maana kujituma kwao ni kwa kwenda mbele maana wanajua juhudi yake itamfanya urudi kwake. Amkeni wamama.
 
na nyinyi MPO PARFECT kwa wake zenu wasitoke nje?
mnayotakiwa kufanya yote mnafanya ndo mana wanatulia home ?


kwenye kutoka nje akuna justfcation kutoka ni kutoka..km kuna pbm asi muelezane ..ukienda nje ndo suluhisho?au icho kimada ndo kinakuwa kikombe cha babu kuponya ndoa yenu?


nyie mbna mna mapungufu meeeeng lakin aijawa sababu ya mkeo kutoka nje?





ahh naskia njaa mie bye:tonguez:
 
Wanawake wengi wanachangia sana kwa waume zao kuwa na vidumu aka nyumba ndogo. Mkiwa pamoja mwanamke ana visababu vingi sana vya kumfanya asiwajibike. Hivyo inawafanya wababa watoke (kidooogo) ili kurekebisha afya zao. Of course huko kwenye vidumu hakuna kulala maana kujituma kwao ni kwa kwenda mbele maana wanajua juhudi yake itamfanya urudi kwake. Amkeni wamama.

Inasababishwa na tamaa zisizo na nyuma na mbele na kuendekeza uzinzi pia imekuwa fashion siku hizi....Hamna kitu kibaya kama kufanya kitu na kulaumu mwingine, kila mtu abebe lawama zake..
eti kurekebisha afya kwa kuwa na nyumba ndogo, afya gani hizo mnazopata? hata huyo nyumba ndogo ukimuoa utatoka nje halafu hapo utasemaje?..Ielewe ndoa na maana yake halisi pia maisha ya ndoa, vinginevyo huwezi kuendekeza uzinzi.
 
Rose, njaa gani? Njoo ule kwangu. Ki ukweli kutoka nje siyo kuzuri kidini, kiafya na kiuchumi pia. Lakini matatizo yakizi ndiyo hivyo tena huwa watu wanaenda ingawa kwa kweli kwenda huko ni hashara kubwa sana kwa mambo mengi sana. Shida moja ni kuwa huwa wagumu sana kujirekebisha.
 
na nyinyi MPO PARFECT kwa wake zenu wasitoke nje?
mnayotakiwa kufanya yote mnafanya ndo mana wanatulia home ?


kwenye kutoka nje akuna justfcation kutoka ni kutoka..km kuna pbm asi muelezane ..ukienda nje ndo suluhisho?au icho kimada ndo kinakuwa kikombe cha babu kuponya ndoa yenu?


nyie mbna mna mapungufu meeeeng lakin aijawa sababu ya mkeo kutoka nje?





ahh naskia njaa mie bye:tonguez:

bwana rose hata nyie mnatoka 2, tena mby zaid mnapeana darasa ktk vijiwe vya umbea, unakuta mwanamke mke wa mtu badala ya kukaa na mumewe amweleze mapungufu yake yeye anaenda kuomba ushauri kwa mashoga zake, sasa huko ni kuokoa au kupoteza?
Huko ni kutulizana ndani ya ndoa au kujengeana mabanda madogo?
Huko kuokoa nyumba zetu au kuzibomoa kabisa?


Kwanza kbs tuelewe kuw wanawake mnapata raha zaidi ya 75% kwenye tendo kutokana na wataalamu wa mambo yenyewe, sasa kama nyie ndo wahanga wakubwa ni kwa nini usimuweke wazi mumeo ajirekebishe? "TÄFÀKÆRÏ!!! Chukua hatua" SH.
 
Wanaboa sana wasichana wa leo,wanajua na wanathamini ku....... tu,ukimpa kazi kdogo wanaanza lawama,wengine wamelelewa macho kwenye tv na mda wote ana rimoti mkononi

mpe tambala la deki,akiosha na sahani mbili tu utasikia eti kachoka,zamani wakina mama walijua kusuka ukiri n.k,mpe wa siku hizi,mikono mwepesi kana kwamba imechemshwa,hata kusuka nywele wengi hawawezi,yaani kila kitu,oho,mara,..anatamani umsaidie hata kutandika kitanda

wanawake jueni wajibu wenu,kulegea kwenu kunawaharibia hakuna mme wa kukupenda kwa kufanya hvyo,maana nyinyi mnafikiri mtaonewa huruma na kupendwa kwa kudeka kwenu,mwisho mnaonekana ni mizigo,kumbukeni mapenzi yako constant na wajibu ktk mambo mengine ni kitu kingne tofauti

bahati mbaya hata mabibi siku hizi hamna,70% ya mafundisho ya kicheni pati ni kitandani na kuvaa,wajibu wenu mbali ya kudo hamfundishwi inavyotakiwa,hamfundishwi kuvumilia wala kukaza mikono kufanya kazi nyumbani,mnafundishwa kuosha nyuso,kucha na visigino,ndoa siyo visigino,ndoa ni taasisi,ndoa ni kazi!
 
bwana rose hata nyie mnatoka 2, tena mby zaid mnapeana darasa ktk vijiwe vya umbea, unakuta mwanamke mke wa mtu badala ya kukaa na mumewe amweleze mapungufu yake yeye anaenda kuomba ushauri kwa mashoga zake, sasa huko ni kuokoa au kupoteza?
Huko ni kutulizana ndani ya ndoa au kujengeana mabanda madogo?
Huko kuokoa nyumba zetu au kuzibomoa kabisa?


Kwanza kbs tuelewe kuw wanawake mnapata raha zaidi ya 75% kwenye tendo kutokana na wataalamu wa mambo yenyewe, sasa kama nyie ndo wahanga wakubwa ni kwa nini usimuweke wazi mumeo ajirekebishe? "TÄFÀKÆRÏ!!! Chukua hatua" SH.


kweli mwaya
bas mtoa mada angesema kwa ujumla mambo yanayo wasababishia watu kusalit ndoa zao ..lakin mpira kuwasukumizia wanawake tu si sawa
kila jinsia ina mapungufu yake

ni swala la indvdual kuweka generalization si sawa
 
Rose, njaa gani? Njoo ule kwangu. Ki ukweli kutoka nje siyo kuzuri kidini, kiafya na kiuchumi pia. Lakini matatizo yakizi ndiyo hivyo tena huwa watu wanaenda ingawa kwa kweli kwenda huko ni hashara kubwa sana kwa mambo mengi sana. Shida moja ni kuwa huwa wagumu sana kujirekebisha.

njaa ya kimwili na kiroho...UTANISHIBISHA?
 
Rweye niko pamoja na wewe, hayo uliyo sema sawa kabisa ndio maana wanaibiwa
 
Long Live Nyumba Ndogo - Bila Nyumba Ndogo dunia ingekuwa sehemu mbaya sana kuishi...
 
Long Live nyumba ndogo! Bila nyie maisha yangekuwa magumu sana!
 
Rweye niko pamoja na wewe, hayo uliyo sema sawa kabisa ndio maana wanaibiwa
 
uzinzi tu wa baadhi ya wababa ndio unawapelekea kuwa na nyumba ndogo.............................
 
matatizo ya ndoa yakijitokeza suluhisho ni nyumbani ndogo? ........... kama ndivyo na huyo naye atakuletea za kuleta utatafuta mwingine.............je mkeo uliyemwacha atakwenda kutafuta wakumliwaza mwisho wa siku


 
njaa ya kimwili na kiroho...UTANISHIBISHA?
Njoo ufanyiwe maombi Rose utashibishwa Kiroho. Of course kimwili pia huduma ipo si ndiyo mada ya leo. Wewe hutakuwa kidumu ila utakuwa KIPIPA! Ha haaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaa

 
vidumu ni soooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo....................
 
Namna hii ku solve matatizo kwa nyumba ndogo Ukimwi hautaisha.
 
Back
Top Bottom