Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Angekuwa kwa Mondi sasahivi angekuwa na watoto SitaCc
Zari the boss lady.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa kwa Mondi sasahivi angekuwa na watoto SitaCc
Zari the boss lady.
Sawa umeenda kibaiolohia zaidi.Ni rahisi kuzaa watoto wengi kama utafunga ndoa wote mke na mume mkiwa wadogo wadogo kiumri
Option ya pili mwanaume uoe mwanamke mdogo awe kama na miaka 20 hivi. Na wewe uwe hujazidi miaka 35.
Yaani mke awe kwenye umri wa quality eggs, na mwanaume uwe kwenye umri wa quality sperms.
Nje ya hapo ni ngumu sana. Hasa siku hizi wanawake wanaolewa wakiwa na 30 yrs and above
Pole Mkuu.Kuzaa watoto wengi waje kugundua nini kwenye hii dunia iliyojaa laana na mateso ya kutosha? Upuuzi content
Hata mada imejikita kwenye wenye uwezo wa kipato.Kipato ndicho kinaamua
Mpaka sasa anao watano na bado kilometres zinasoma.Angekuwa kwa Mondi sasahivi angekuwa na watoto Sita
Kumbe bado anaendelea? Sasa si kila mtoto na Baba yake? Ile K itakuwa na hali mbaya sana😅Mpaka sasa anao watano na bado kilometres zinasoma.
Kiyu ndio nini Mkuu?Wakubwa njoeni haraka mtujuze kiyu
AhahahKiyu ndio nini Mkuu?