Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
sawa nakula sana yani nakula ile mbaya, tatizo mwili nao huooo, wengine huwa hawali nataka kujua hapo kwanini hawaongezekikula tu vizuri wkati wa kunyonyesha mtoto akishaanza kuchanganya vyakula anza kula vyakula visivyo na wanga na mafuta kwa wingi,,,
kwanini ule "ile mbaya" kula kiasi bwana,,mimi nikiwa mzazi sinenepi japo maza mkwe anajituma lakini nazani heka heka za mtoto zinanifanya nisnenepe kiivo...ila nikitoka ndo naanza kunenepa nikishaona ivo naanza kubadili mfumo wa kulasawa nakula sana yani nakula ile mbaya, tatizo mwili nao huooo, wengine huwa hawali nataka kujua hapo kwanini hawaongezeki
njaa napata njaa kila dakika, na nikihisi njaa sitaki kuchelewa hata dakika, mwanzo nilijibana mwili ukawa poa tatizo Maziwa nayo ya mawazo nmeamua kula nimefumuka sipendi unene, nifanyeje nileje.kwanini ule "ile mbaya" kula kiasi bwana,,mimi nikiwa mzazi sinenepi japo maza mkwe anajituma lakini nazani heka heka za mtoto zinanifanya nisnenepe kiivo...ila nikitoka ndo naanza kunenepa nikishaona ivo naanza kubadili mfumo wa kula
Nikila mbogamboga na matunda tu nitapata maziwa?Shost aliniambia yeye alikuwa anakula nyama mboga na matunda nafaka ni toast tu, asubuhi toast yai la kuchemsha na matunda kubao
Saa nne oaks la kuku wa kuchoma na mboga
Mchana supu toast kipande kimoja na matunda
Saa kumi toast na parachichi
Jioni supu tena
Na nyamaNikila mbogamboga na matunda tu nitapata maziwa?
Niliambiwa nyama zinanenepeshaNa nyama
Mie nlikua vizuri wiki mbili za mwanzo yani mwili ulikotokea sijui.Mazoezi pia muhimu hata kama nusu saa kwa siku hadi saa moja, lakini ES na mazoezi mbali mbali. Ila kuna watu wana bahati zao unakuta mtu anakwambia ana watoto wawili mpaka wanne lakini hana dalili ya kuonyesha kama ana mtoto hata mmoja. Hana tumbo na ule unene unaoanza kuharibu shape yake.
Yaap ni kweli Nina mdogo wangu alipata mimba form three Duh yaani km hajazaa Hakuna mazoez Wala diet tumbo flat Sasa karud shule.Mazoezi pia muhimu hata kama nusu saa kwa siku hadi saa moja, lakini ES na mazoezi mbali mbali. Ila kuna watu wana bahati zao unakuta mtu anakwambia ana watoto wawili mpaka wanne lakini hana dalili ya kuonyesha kama ana mtoto hata mmoja. Hana tumbo na ule unene unaoanza kuharibu shape yake.
Yaap ni kweli Nina mdogo wangu alipata mimba form three Duh yaani km hajazaa Hakuna mazoez Wala diet tumbo flat Sasa karud shule.
Mie nlikua vizuri wiki mbili za mwanzo yani mwili ulikotokea sijui.
Mazoezi hapo dah yani sijiwezi kabisa kwenye mazoezi
Yah gym muhimu humuoni Zari bi Tukinao anavyopendezaNdiyo itabidi ujitahidi kufanya mazoezi ES au utaendelea kufutuka hadi ujichukie.
Yah gym muhimu humuoni Zari bi Tukinao anavyopendeza
Nilijaribu, nikadownload na app nikacheki kechi siku tatu tu chaliiiNdiyo itabidi ujitahidi kufanya mazoezi ES au utaendelea kufutuka hadi ujichukie.
Nilijaribu, nikadownload na app nikacheki kechi siku tatu tu chaliii