Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
- #21
Kupata mwanamke anayekumbuka kuuliza kama mwamba umekunywa chai ni thawabu kabisaUmekunywa chai??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupata mwanamke anayekumbuka kuuliza kama mwamba umekunywa chai ni thawabu kabisaUmekunywa chai??
Mwanamke ni kiumbe kinafiki , hapa hakuna ukweliThe way unavyo mtreat mwanamke, ndivyo atakavyoishi na wewe haijalishi how pretty she's?
Yeah,asijejitesa na manyeto kujiongezea stress.Kupata mwanamke anayekumbuka kuuliza kama mwamba umekunywa chai ni thawabu kabisa
Mapema sana, soup ya kuku, chapati nne, na juice ya parachichi.Umekunywa chai??
Aisee una picha nyingine mithili ya hii
Mkuu unataka kula mkono ?Aisee una picha nyingine mithili ya hii
Eeh baba tufanyeje tunajihudumia wenyeweMkuu unataka kula mkono ?
Mweeh hongera baba,mie chapati mbili tu tayari,Mapema sana, soup ya kuku, chapati nne, na juice ya parachichi.
Mkuu acha uogo tafuta mama akuhudumie, mkono ni hatari unalegeza pipeEeh baba tufanyeje tunajihudumia wenyewe
Kwani wanajua wanataka nini basi[emoji16],Hayo mahips/ makalio yana mchango gani katika maendeleo yenu ?????
Ni Upuuzi tu!
Yani ni hekaheka tupu!Kwani wanajua wanataka nini basi[emoji16],
Yaani,mara mwanamke mwenye pesa,mara mwenye kazi mambo tafrani.Yani ni hekaheka tupu!
Mwingine kule nae anasema miguu ya bia kuna wa viuno kitandani jamani 🙌🙌🙌!Yaani,mara mwanamke mwenye pesa,mara mwenye kazi mambo tafrani.
Wanaume hawaishi kukosoa hasa wa jf[emoji16],tuishi nao hivyo,Mwingine kule nae anasema miguu ya bia kuna wa viuno kitandani jamani [emoji119][emoji119][emoji119]!
Hii iko sebleni ukinyanyua tu pazia unayeHii inaonekana ikipembuliwa vizuri ipo peupe kabisa😋
Mmh ebu acha hizi binti