Tuwazalie mapachaKwani wanaume ambao wanamtumia tu Mshua hela ya whisky na mashosti bila kusema kwa wife hawa si tuwaongezee tu mtoto mwingine jamani ?
Au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwazalie mapachaKwani wanaume ambao wanamtumia tu Mshua hela ya whisky na mashosti bila kusema kwa wife hawa si tuwaongezee tu mtoto mwingine jamani ?
Au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapewe jf yote na mbususu zake
Na warekebisha nyumba ya wazee wa mwanamke hawa jamani wabarikiwe na kuongezewa maradufuu hata wakitaka kuongeza mke mdogo unaitikia tu tawile babaa!!Kwani wanaume ambao wanamtumia tu Mshua hela ya whisky na mashati bila kusema kwa wife hawa si tuwaongezee tu mtoto mwingine jamani ?
Au
Hili Unakubali kweli Best??Hahahahaha duh!!! Mbususu zote za JF mhhhh!
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Hili Unakubali kweli Best??
Na kila mwanamke aseme AimeenWanaume wanaonunua pedi na kuweka kwenye pants tukitoka bafuni tunazikuta kitandani.
Hawa wapigiwe tarumbeta la wimbo wa Taifa Teule la Israel kila wanapoamka asbh
Kisha wasindikizwe na kinywaji bariiiidWale wanaume WASIO kuwa intimidated na uwezo, akili, ucheshi, vipsji vya wanawake zao and still support and proud of them.
Hawa mbinguni waingie wakiwa na suti za tuxedo wallahi!!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Jamanii .......! Kiharage kinapwita pwitaje hapa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]To all the men that cooks jamani.
Hata kama mnachafua vyombo na kujaza sinki nyie tutaendelea kuwasave "My Moon forever and a day" kwenye phonebook.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12] njoo ujionee mwenyewe !![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weka clip/picha [emoji12][emoji12][emoji12]
Kuna jamaa alianza mwisho wa mwezi ntakununulia simuWale wenye wakifinyiwa kidogo tu makelele kibao mixer ngurumo za radi, wanaisikiliza mpaka wanashindwa kujizuia hawa watukabidhi ATM cards zao na password.
Aimeeennn!Na kila mwanamke aseme Aimeen
Lol unakuta mnaheshimiana sana yani! Anakujali anakupa chochote afu ndoivo anataka umzalie kha mitihani hii!Kula hela alaf useme mimba imetoka