Aisee yaan nimekaa siku mbili tu bila kutembelea humu, nakuta mshahonga hadi bungee?...nyieee...[emoji23]
[emoji23][emoji23] na jeshi pia mmeligawa? hizi mbunye sio nzurii na mpaka jeshi la polisi?[emoji38]
[emoji38][emoji38][emoji38] ...tunaishije sasa, kwahiyo tukihitaji jeshi mpaka tumtafute
Mamndenyi , kufungua bunge mpaka tumpate
mahondaw na hiizi bombadier alizopewa
snowhite atcl ndo baasi teena na flyover zote kachukua
Evelyn Salt [emoji2357]
Ama kweli mbunye iheshimiwe na watu wote, Halafu kuna mtu kahonga baba ake ambae ni mstafuu[emoji119]
[emoji119]