Wanawake wenye kucha ndefu ndiyo wanaongoza kwa kuwa na uke mchafu

Wanawake wenye kucha ndefu ndiyo wanaongoza kwa kuwa na uke mchafu

Duh mzee ww utakuwa unakula hata takataka
Mkojo wa mwanamke siyo issue kwangu... harufu ya uke wake siyo issue kwangu... denda la asubuhi siyo issue kwangu... issue ni kinyesi, kwapa... etc...
 
Kiukweli ufugaji wa kucha kwa jinsia zote ni uchafu. Kucha ndefu zinawafaa wanyama km paka, chui, simba, n.k kwakua kwao hizo ni zana za kazi. Na rangi hupakwa vitu km magari, samani, mashine mbalimbali, majengo n.k. kwa sababu maalumu na si binadamu unafuga mikucha, unajipaka rangi.
 
Hali hii husababishwa na wanawake wa dizaini hii kushindwa kuosha uke kwa ndani kwa kuhofia kucha zao zitawaumiza.

Kwa hiyo kama mkeo au mchumba wako ana kucha ndefu jiandae kisaikolojia kupambana na bwawa la mabibo au mlimani na harufu ya kutosha.

Onyo, usijaribu kwenda chumvini na mwanamke wa dizaini hii,utababuka ulimi au uso kuvimba.
Sina hakika.
 
Kuna mambo hayahitaji data....wala ujue research methodology wala chchote.

Fact fact fact.....kateni kucha hizo at least hats mkono mmoja basi
Mhhh ok, mi nafuga kucha mkono wa kushoto mwaka wa 7 huu, huwa sikati kabisa zaidi ya kuzipunguza tu , ni safi na zinapendeza. (Kwa mujibu wangu na hubby). Napaka rangi au henna kucha za miguuni tu na si za mikononi. Kabla ya kujisafisha kwa bibi huku nahakikisha Mikono yangu ni misafi kabisa na huwa situmii public toilets.
Nataka kusema hivi tatizo la harufu mbaya ukeni ni zaidi ya mwanamke kuwa na kucha ndefu jitahidini kuwapeleka wapenzi wenu hospitali kwa ajili ya uchunguzi na matibabu.

Lakini pia sio kila kitu kila mtu anaweza kukifanya, ukiona mwanamke huwezi kutunza kucha zako katika hali ya usafi ni bora ukate.
Ila kwa mimi sikati kucha leo wala kesho kutwa labda kwenye maisha baada ya hapa.
 
hili la kusafisha uke kwa ndani nimegoma kulielewa. navyojua uke unajisafisha wenyewe huko ndani. kuchokonoa uke ni kujitafutia maradhi. uchafu ukifika nje ndo uusafishe. mbona hamchokonoi pua kufata makamasi huko yanakoanzia?
 
hili la kusafisha uke kwa ndani nimegoma kulielewa. navyojua uke unajisafisha wenyewe huko ndani. kuchokonoa uke ni kujitafutia maradhi. uchafu ukifika nje ndo uusafishe. mbona hamchokonoi pua kufata makamasi huko yanakoanzia?
Unapoambiwa uke unajisafisha ndani ni kwamba uke unajisafisha na uchafu unakua deposited kwenye vaginal opening (mouth). Kuanzia hapo unasafisha mwenyewe

Sasa kama una kucha ndefu unasafishaje hapo? Maana panasafishwa na maji safi kwa mikono tu basi. Huruhusiwi kutia chochote zaidi ya maji.
Wewe unafikiri kwanini chooni kumewekwa pressure tap ya kutawazia kama uke unajisafisha wenyewe kila mahali??
Pressure tap ni kwa ajili ya kupiga maji hadi kwenye vaginal opening bi dada[emoji108]

Google for more info.
 
Unapoambiwa uke unajisafisha ndani ni kwamba uke unajisafisha na uchafu unakua deposited kwenye vaginal opening (mouth). Kuanzia hapo unasafisha mwenyewe

Sasa kama una kucha ndefu unasafishaje hapo? Maana panasafishwa na maji safi kwa mikono tu basi. Huruhusiwi kutia chochote zaidi ya maji.
Wewe unafikiri kwanini chooni kumewekwa pressure tap ya kutawazia kama uke unajisafisha wenyewe kila mahali??
Pressure tap ni kwa ajili ya kupiga maji hadi kwenye vaginal opening bi dada[emoji108]

Google for more info.
pressure tap sidhani kama ni kwa ajili ya kupiga maji hadi vaginal opening peke yake. na kama pressure tap inapiga hadi vaginal opening basi tunashukuru kwani hata mikono haihitajiki tena maana inasafisha uchafu kwa presha. kazi ya mikono inabaki kujikausha tu. Pressure tap imezingatia maumbile ya haja kubwa kwa wote na haja ndogo kwa wanawake yalikokaa na hatari ya kugusa kinyesi kwa mikono. binafsi huwa sielewi kama hakuna hiyo pressure tap wala toilet paper mtu akijisaidia haja kubwa inakuwaje hata kama kuna maji ya kukinga kwa kopo. ina maana atashika mabaki ya kinyesi live bila chenga. sasa ukizingatia u vyoo vingi havina sabuni na watu wengi hawana utamaduni wa kunawa mikono inakuwa shida. Anyway, mada ni urefu wa kucha. Urefu wa kucha ambao ni kikwazo ni ule unaomsababisha mhusika ashindwe kushika kitu kwa hiyo mtu anapofuga kucha anakuwa anajua anavyofanya mambo yake. Sehemu zake za siri ataziosha kama anavyoosha uso wake. Nadhani tatizo ni obssession na sehemu za siri ndo inasumbua watu.
 
Tunaponda hapa,,ila ukikutana na demu wa hivo huish kumtaman na kumsifia umependezaaa tuache unafik sisi wanaume hata akiwa demu wako akiwa na hayo makucha au mawig mpe live bila chenga hata km kaja geto tena kabla hujamgegeda sio tunasifia tu uson na kuchukia moyon
Unajua mwanamke ukimsifia ndio anaona unapenda hizo swaga ndio maana wanawake wa mujin wanafuga makucha na kuvaa miwiving kila kona anayopita anasifiwa
 
Hali hii husababishwa na wanawake wa dizaini hii kushindwa kuosha uke kwa ndani kwa kuhofia kucha zao zitawaumiza.

Kwa hiyo kama mkeo au mchumba wako ana kucha ndefu jiandae kisaikolojia kupambana na bwawa la mabibo au mlimani na harufu ya kutosha.

Onyo, usijaribu kwenda chumvini na mwanamke wa dizaini hii,utababuka ulimi au uso kuvimba]
Ngoja nisubiri hizo dalili
 
Back
Top Bottom