Wanawake wenye makalio makubwa wanajiamini Sana kuliko wasio na makalio makubwa

Wanawake wenye makalio makubwa wanajiamini Sana kuliko wasio na makalio makubwa

Makalio makubwa na kujiamini = maji na mafuta
Haviendani.
 
Hili suala ya confidence miongoni mwa wanawake nimelifanyia utafiti kwa muda wa miezi sita na nimekuja na conclusion kwamba confidence miongoni mwa wanawake inavary kutoka kwa mwanamke mmoja Hadi mwingine kwa sababu mbali mbali.Sababu kubwa niliyogundua Ni muonekano wa nje ( physical appearance) wa mwanamke ndio unamfanya kuwa ama kutokuwa na confidence.

Kwa hiyo katika utafiti wangu niligundua kwamba wanawake wenye makalio makubwa au wenye wowowo Ni Wana confidence kubwa Sana tena Ni wenye kujiamini ukiwacompare na wenzao ambao hawakujaliwa makalio makubwa.
Yaani ukipishana na wanawake wenye wowowo barabarani utawaona wamechangamka Sana tena wanatembea kwa kujiamini Sana.

Unaweza kutana na dada wa watu ukadhani huyu labda amesoma Hadi huko Havard kumbe kichwani sifuri tu aliishia la Saba ila ujasiri alionao sio wa kitoto Yaani.Utagundua kwamba kitu kikubwa kinachompa ujasiri na kujiamini Sana Ni ule muonekano wake mzuri ( sura nzuri na msambwanda) aliojaliwa na Mungu.

Si rahisi umkute dada ambaye hakujaliwa muonekano mzuri especially makalio ya kueleweka, Ana confidence Kama wenzao waliojaliwa umbo zuri.Wengi wait wanakuwaga wapole Sana Yaani hawanaga machachari kbsa.Ndio maana siku hizi unaskia wanawake wakikwea pipa kwenda Uturuki na Uchina ili wafanyiwe surgery ya miili yao ikiwemo kutengeneza makalio na mengineyo ili waweze kuwa na muonekano mizuri ya kuvutia.

Wanaume wengi Sasa udhaifu wetu upo kwenye makalio ya wanawake.I swear Hakuna mwanaume ambaye atakutana na mwanamke mwenye shape nzuri barabarani afu akose kugeuka kumuangalia kwa Mara ya pili😂.

Hata ukiwachukuwa wanawake wawili mmoja mwenye makalio makubwa na mwingine asiye na makalio makubwa uwaweke pamoja Kisha uwaambie wanaume wachague mwanamke mmoja Kati yao. Nakwambia hapa asilimia 99 lazima watamchagua huyo mwanamke mwenye makalio makubwa.
Ni kweli hata humu nimeona. Nina uzoefu. Walio na makalio wana utulivu sana hata matusi hawana. Sasa ukutane na akina Miss Kimbangulile..... Wana maneno sana.
 
Sasa mwanamke unaachaje kujiamini kwa mfano? Na siyo kwamba wanawake waliojaaliwa, wanajiamini kwaajili ya kufungasha kwao. Ile tu alivyo mtu anaogopa 😀😀😀

Nimeshangaa kuona wadada nanyinyi, mnaponda waliojaaliwa serious!!!
Ndiyo Mungu alivyoumba, mbona sisi hatuwasemi na flat screen zenu?
 
Sasa mwanamke unaachaje kujiamini kwa mfano? Na siyo kwamba wanawake waliojaaliwa, wanajiamini kwaajili ya kufungasha kwao. Ile tu alivyo mtu anaogopa 😀😀😀

Nimeshangaa kuona wadada nanyinyi, mnaponda waliojaaliwa serious!!!
Ndiyo Mungu alivyoumba, mbona sisi hatuwasemi na flat screen zenu?
Wenye flat screen tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sana..!!😂😂😂
Ila tbh, mdada akiwa na shape huwa na appreciate jamani nahisi ningekuwa mwanaume, mzabzab angerudi shule..!!
 
Wenye flat screen tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sana..!!😂😂😂
Ila tbh, mdada akiwa na shape huwa na appreciate jamani nahisi ningekuwa mwanaume, mzabzab angerudi shule..!!
Flat screen mna makasiriko sana 🤣🤣🤣🤣🤣 mtasema siye ndiyo tuliwanyima misambwanda. Mmekichafua sana kwenye huu uzi. Ila aliyepewa kapewa tu 😄😄😄😄😄
 
Flat screen mna makasiriko sana 🤣🤣🤣🤣🤣 mtasema siye ndiyo tuliwanyima misambwanda. Mmekichafua sana kwenye huu uzi. Ila aliyepewa kapewa tu 😄😄😄😄😄
Huwezi amini hata sijasoma huko mbele nimepatana tu na hii comment kwenye New Trending,
 
Wenye flat screen tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sana..!!😂😂😂
Ila tbh, mdada akiwa na shape huwa na appreciate jamani nahisi ningekuwa mwanaume, mzabzab angerudi shule..!!
Kumbee na wee unapenda kuangalia msambwanda na lishape sexy la mwanamke mwenzio🤣🤣🤣
Sii useme tuu unatamanigi ata kulishika wowowo🤣🤣🤣🤣
 
Mwanamke mweupe anajiamini zaidi kuliko mwanamke mwenye makalio, pia mwanamke msomi
 
Hili suala ya confidence miongoni mwa wanawake nimelifanyia utafiti kwa muda wa miezi sita na nimekuja na conclusion kwamba confidence miongoni mwa wanawake inavary kutoka kwa mwanamke mmoja Hadi mwingine kwa sababu mbali mbali.Sababu kubwa niliyogundua Ni muonekano wa nje ( physical appearance) wa mwanamke ndio unamfanya kuwa ama kutokuwa na confidence.

Kwa hiyo katika utafiti wangu niligundua kwamba wanawake wenye makalio makubwa au wenye wowowo Ni Wana confidence kubwa Sana tena Ni wenye kujiamini ukiwacompare na wenzao ambao hawakujaliwa makalio makubwa.
Yaani ukipishana na wanawake wenye wowowo barabarani utawaona wamechangamka Sana tena wanatembea kwa kujiamini Sana.

Unaweza kutana na dada wa watu ukadhani huyu labda amesoma Hadi huko Havard kumbe kichwani sifuri tu aliishia la Saba ila ujasiri alionao sio wa kitoto Yaani.Utagundua kwamba kitu kikubwa kinachompa ujasiri na kujiamini Sana Ni ule muonekano wake mzuri ( sura nzuri na msambwanda) aliojaliwa na Mungu.

Si rahisi umkute dada ambaye hakujaliwa muonekano mzuri especially makalio ya kueleweka, Ana confidence Kama wenzao waliojaliwa umbo zuri.Wengi wait wanakuwaga wapole Sana Yaani hawanaga machachari kbsa.Ndio maana siku hizi unaskia wanawake wakikwea pipa kwenda Uturuki na Uchina ili wafanyiwe surgery ya miili yao ikiwemo kutengeneza makalio na mengineyo ili waweze kuwa na muonekano mizuri ya kuvutia.

Wanaume wengi Sasa udhaifu wetu upo kwenye makalio ya wanawake.I swear Hakuna mwanaume ambaye atakutana na mwanamke mwenye shape nzuri barabarani afu akose kugeuka kumuangalia kwa Mara ya pili😂.

Hata ukiwachukuwa wanawake wawili mmoja mwenye makalio makubwa na mwingine asiye na makalio makubwa uwaweke pamoja Kisha uwaambie wanaume wachague mwanamke mmoja Kati yao. Nakwambia hapa asilimia 99 lazima watamchagua huyo mwanamke mwenye makalio makubwa.

Hili suala ya confidence miongoni mwa wanawake nimelifanyia utafiti kwa muda wa miezi sita na nimekuja na conclusion kwamba confidence miongoni mwa wanawake inavary kutoka kwa mwanamke mmoja Hadi mwingine kwa sababu mbali mbali.Sababu kubwa niliyogundua Ni muonekano wa nje ( physical appearance) wa mwanamke ndio unamfanya kuwa ama kutokuwa na confidence.

Kwa hiyo katika utafiti wangu niligundua kwamba wanawake wenye makalio makubwa au wenye wowowo Ni Wana confidence kubwa Sana tena Ni wenye kujiamini ukiwacompare na wenzao ambao hawakujaliwa makalio makubwa.
Yaani ukipishana na wanawake wenye wowowo barabarani utawaona wamechangamka Sana tena wanatembea kwa kujiamini Sana.

Unaweza kutana na dada wa watu ukadhani huyu labda amesoma Hadi huko Havard kumbe kichwani sifuri tu aliishia la Saba ila ujasiri alionao sio wa kitoto Yaani.Utagundua kwamba kitu kikubwa kinachompa ujasiri na kujiamini Sana Ni ule muonekano wake mzuri ( sura nzuri na msambwanda) aliojaliwa na Mungu.

Si rahisi umkute dada ambaye hakujaliwa muonekano mzuri especially makalio ya kueleweka, Ana confidence Kama wenzao waliojaliwa umbo zuri.Wengi wait wanakuwaga wapole Sana Yaani hawanaga machachari kbsa.Ndio maana siku hizi unaskia wanawake wakikwea pipa kwenda Uturuki na Uchina ili wafanyiwe surgery ya miili yao ikiwemo kutengeneza makalio na mengineyo ili waweze kuwa na muonekano mizuri ya kuvutia.

Wanaume wengi Sasa udhaifu wetu upo kwenye makalio ya wanawake.I swear Hakuna mwanaume ambaye atakutana na mwanamke mwenye shape nzuri barabarani afu akose kugeuka kumuangalia kwa Mara ya pili😂.

Hata ukiwachukuwa wanawake wawili mmoja mwenye makalio makubwa na mwingine asiye na makalio makubwa uwaweke pamoja Kisha uwaambie wanaume wachague mwanamke mmoja Kati yao. Nakwambia hapa asilimia 99 lazima watamchagua huyo mwanamke mwenye makalio makubwa.
Mie ninayo kabisa sio la uturuki
 
Binafsi.. TAQO kubwa sio vitu vyangu.. Mie napenda Vimodo flan hiv hips za kutosha nyuma Kijungu flan yaan kama kibakuri cha udongo! Alaf awe na mguu mlaini lain wa kuulamba.. Inatosha kbs.. Kg asizid 65+ ili niweze kumbinjuabinjua na kumpanuapanua...
 
Back
Top Bottom