Wanawake wenye makalio makubwa

Mchina yuko kwenye kochi anashushia juice bariiiiidi akiona kazi yake inavyolipa

wanawake wengine walimbukeni sana, hawaridhiki na walichonacho wanataka wowowo, anyways kila mtu na maisha yake
Jose mambo vipi mdau ? Za siku nyingi ?
 
Mchina yuko kwenye kochi anashushia juice bariiiiidi akiona kazi yake inavyolipa

wanawake wengine walimbukeni sana, hawaridhiki na walichonacho wanataka wowowo, anyways kila mtu na maisha yake
Sasa naona mmeanza kusingizia wanawake, hivi waloanza kuyataka hayo mattacore makubwa siyo wanaume ni wanawake tena..??
 
halafu ukute amabarikiwa na sura,hapo ni balaaa.....wenye vipato na vyeo watamfuata
 
Mchina yuko kwenye kochi anashushia juice bariiiiidi akiona kazi yake inavyolipa

wanawake wengine walimbukeni sana, hawaridhiki na walichonacho wanataka wowowo, anyways kila mtu na maisha yake
Halafu yeye mchina kapigwa pasi matata
 
Weka picha tuone
 
Ujinga wa kupenda tako hua hauishii hapohapo kwenye tako, hua unahamia kwenye kile kilichofichwa na hilo tako.
Dunia inakimbia kwa kasi sana.
Na shetani alivyo mjanja nae kaamua kuvaa rozali ili kutumuaminisha kua yeye pia ni mtumishi wa mpakwa mafuta.
 
Duuh...Mkuu mbona Mimi Wanawake weusi nawaona wengi..TU tena Wana hayo mawowowo
unakuta sura kama remi ongala color ya iddi amini dada lakini sasa msambwanda utazani ka sim tank kadogo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..... Eti sura Kama remyongala
[emoji23][emoji23], yani sura kama remi ongala lakini bado inavutia kuangalia akitembea, yani moyo unatulia kimya unaangalia tu mzigo unavyoenda[emoji23]
 
[emoji23][emoji23], yani sura kama remi ongala lakini bado inavutia kuangalia akitembea, yani moyo unatulia kimya unaangalia tu mzigo unavyoenda[emoji23]
Ana Ngongingo....Wowowo
 
Hata utambulisho wao ni, Simama Basi shemeji zako wakuone. Wanavutia nje tu lkn ndani (bed to bed @ Head). Ni empty
 
Siku hizi wanasema mwenye chura anajiamini sana kuliko hata mwenye degree yake! Sasa amua kuchukua mwenye chura akili mtatumia zako ama uchukue mwenye akili na maadili! [emoji848]

Baby mbona me ilove u pekeaaaaaakoo[emoji28]
 
Hao wenye makalio makubwa Sina hamu nao tena ,wanatusababishia ajali na maumivu makali.Wewe binti unayofanya kazi TTCl Ubungo plaza ulinisababishia ajali napata maumivu makali ya kugongwa na bodaboda Kisha kugeuka kichwa kukuangalia ukiwa unatingisha makalio maksudi hadi nagongwa na bodaboda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…