google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Jose mambo vipi mdau ? Za siku nyingi ?Mchina yuko kwenye kochi anashushia juice bariiiiidi akiona kazi yake inavyolipa
wanawake wengine walimbukeni sana, hawaridhiki na walichonacho wanataka wowowo, anyways kila mtu na maisha yake
Sasa naona mmeanza kusingizia wanawake, hivi waloanza kuyataka hayo mattacore makubwa siyo wanaume ni wanawake tena..??Mchina yuko kwenye kochi anashushia juice bariiiiidi akiona kazi yake inavyolipa
wanawake wengine walimbukeni sana, hawaridhiki na walichonacho wanataka wowowo, anyways kila mtu na maisha yake
Halafu yeye mchina kapigwa pasi matataMchina yuko kwenye kochi anashushia juice bariiiiidi akiona kazi yake inavyolipa
wanawake wengine walimbukeni sana, hawaridhiki na walichonacho wanataka wowowo, anyways kila mtu na maisha yake
Weka picha tuoneLazima nikubali hii.
Sote ni watu wazima, kwa hivyo hakuna sababu ya mimi kuificha. Kuna sifa zingine kadhaa ninazotafuta kwa mwanamke, kwa kweli. Walakini, ni lazima nikiri kwamba nina udhaifu mkubwa kwa wanawake walio na matako makubwa, ambao matako yao hutetemeka wanapotembea, n.k Aina ya kitako ambacho unaweza kudhani lazima iwe kubwa hata kutoka kwa kutazama kiuno chake kutoka mbele. Wanawake wenye matako makubwa ni pombe yangu.
Sasa, sijaribu kuwa na maoni yasiyofaa, lakini mara nyingi nimekutana na wanawake wengi wenye tabia hii ya kimaumbile ambao hawako kwenye harakati za kielimu na hawawezikuwa na mazungumzo ya akili. Nimeona wengi wana tabia za kiburi kiburi na nyodo.
Mara nyingi wanapenda kutembea mahali ambapo watu wengi wangewaona, wanapenda attention iliyozidi na hawawezi kuonekana kwenye maktaba wakisoma au kusoma kitabu,.
unakuta sura kama remi ongala color ya iddi amini dada lakini sasa msambwanda utazani ka sim tank kadogo[emoji23][emoji23][emoji23]Duuh...Mkuu mbona Mimi Wanawake weusi nawaona wengi..TU tena Wana hayo mawowowo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..... Eti sura Kama remyongalaunakuta sura kama remi ongala color ya iddi amini dada lakini sasa msambwanda utazani ka sim tank kadogo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23], yani sura kama remi ongala lakini bado inavutia kuangalia akitembea, yani moyo unatulia kimya unaangalia tu mzigo unavyoenda[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..... Eti sura Kama remyongala
Ana Ngongingo....Wowowo[emoji23][emoji23], yani sura kama remi ongala lakini bado inavutia kuangalia akitembea, yani moyo unatulia kimya unaangalia tu mzigo unavyoenda[emoji23]
ha ha ha ha ,uko vizuri mkuu, kumbe uko updated vizuri kabisa.Ana Ngongingo....Wowowo
Toka nje uangalie liveWeka picha jombaa
HahahaHawa wenye mitako mikubwa tatizo wanatumika saaana, tena wengi hawafugiki
Nadhani akili zao ziko hukohuko kulikovimba.
Siku hizi wanasema mwenye chura anajiamini sana kuliko hata mwenye degree yake! Sasa amua kuchukua mwenye chura akili mtatumia zako ama uchukue mwenye akili na maadili! [emoji848]
Unampenda mtu asiye na chura wala degree! Nakuonea huruma babe😀Baby mbona me ilove u pekeaaaaaakoo[emoji28]