Wanawake wenye matumbo flat wawa vipusa Dar

Yaaaa niko poa pacha wa mie,tunaongezea siku hapa maana ukicheka ushaongeza siku tayari
Kweli kabisa pacha mana kwa post za jf kucheka ni lazima aisee ndio mana huwa sijawahi jutia kujiunga jf.
 
Duh... hii ni post yako ya kwanza tangu ujiunge JF

Hakika tunategemea kupata mengi toka kwako...

maana si kwa speed hii...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Heading tu nimecheka mpaka baasi!

Longlive jf

post using my macbook air using jamiiforums app
 
We jamaaa umenifanya nicheke saana. Kwenye dalaladala alafu pembeni yangu kuna Dada mada inamuhusu muda mwingi alikuwa anaichungulia simu yangu baaada ya kuona hii mada nimemwekea asome
[emoji23] [emoji23] [emoji23] vip anasoma na comments?

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…