Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu! kwa Smart911 nikifanya wivu ntakufa siku si zangu.. make huyu mwanaume jamani jamani wacha tu yaniRafiki una wivu wa mwendokasi[emoji23] [emoji23]
sio tia maji tia maji, maan dagaa huli unavidonda vya tumbo,, nyama ya ng'ombe huli una aleji we kuku tu [emoji23]Uwe na mahela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yan kama nakuona unavyocheka
safi sanaaaNipo mkuu nazurura tu humu JF
Inabidi mjitenge muwe nchi mtaendelea haraka kupitia utalii[emoji23] [emoji23]
sio tia maji tia maji, maan dagaa huli unavidonda vya tumbo,, nyama ya ng'ombe huli una aleji we kuku tu [emoji23]
Hahaha, yule hakua anaudhuria misiba wala kutoa rambi rambi ,yeye kuzurura tuAcha kuzurura utafutwa kazi kama mwigulu[emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaan wewe sio mm