Wanawake wenye muonekano wa kawaida wanaolewa sana sijui kwanini

Wanawake wenye muonekano wa kawaida wanaolewa sana sijui kwanini

Hawa pisi kali wanaogopwa balaa. Wanaume huwaogopa kuwaoa kwa sababu kila mwanaume huwataka hata kuwachezea tu. Wanaume wanaona ukioa mwanamke mzuri utaolea kijiji/mtaa. Wanaonekana kama hawajatulia ni malaya.
Wa sababu siyo hiyo.

Hata kikwete alikuwa mtoto wa mjini na ana mapene sana lkn alichukua Salma.

Wanaume wote tunataka Confort tu mambo ya pisi kali isiyo na adabu wala heshima ni kwa kupiga na kusepa tu
 
Kuna jamaa yangu mmoja aliishia kuchekwa kwenye harusi yake baada ya kuoa mwanamke wa kawaida asiyevutia wengi. Nilimuuliza kulikoni kuoa mwanamke wa hivyo wakati awali alipendelea wanawake wazuru warembo. Alinijibu kaoa wa kawaida asiye na mvuto kwa wanaume hata akisafiri hakuna mwanaume atatamani kwenda kupakua mzinga wake
Huyo alikudanganya
 
Wanawake wenye muonekano wa kawaida huwa wanaingia kwenye ndoa na zinadumu sana sijui kwa nini, Angalia hata wake za marais hawanaga mambo mengi , hawa maslayqueen sijui wana tatizo gani[emoji3]

Hata wake za matajiri chunguza utaona
Benz, V8, Crown etc ni Kwa ajili ya show off mjini. Ila msimu wa kilimo ukifika, shambani tunaenda na trekta.
 
Unaoaje mtu kila akipita mahali watu wanaacha kazi zao wana-concentrate na mwonekano wake. Rate ya mtu wa hivyo kutongozwa iko juu sana, mwisho anaanza kukuona wa nini.

Oa mwanamke mzuri, atakayekuzalia watoto wazuri, that's it.
 
Inategemea uzuri mara nyingi unatengenezwa katika Akili ya mtu Mwanamke ambaye kichwani yupo vizuri na ana Afya Akili na MAARIFA huyo anakuwa na nafasi ya kufanikiwa katika kila kitu iwe Elimu ,ndoa na Kazi


Hivyo sura au umbo hivyo vigezo vitakosa maana endapo mwanamke Hana Afya ya Akili , MAARIFA na hekima ndani yake .

Binafsi nitakapohitaji kuoa kigezo changu kitajikita katika uzuri wa ndani zaidi na sio nje maana sio kila Mwanamke anabidi kuolewa na sio kila mwanaume anabidi kuoa na mwisho Mama Bora wa watoto wangu ni muhimu Sana kuliko hata sura na umbo.
 
Unajua vyombo used unaweza kaa navyo dukani na usipate hata wa kuuliza bei?! Sikirepa!!!! Yuzidi. Yuzidi. Tena uzidi. Narudia, uzidi. Kila dereva anatest injini. Na wanakua deyiwaka. Akiajiliwa mtu sasa,akitest anasusa.

Injini zimetumika sana kaka. Hamna kitu
 
Unaoaje mtu kila akipita mahali watu wanaacha kazi zao wana-concentrate na mwonekano wake. Rate ya mtu wa hivyo kutongozwa iko juu sana, mwisho anaanza kukuona wa nini.

Oa mwanamke mzuri, atakayekuzalia watoto wazuri, that's it.
Sawa sawa
 
Hata uoe kilema, Wahuni kama wahuni watapiga tu. 🤒🤒
Tatizo sio wahuni kupiga tatizo unaishi na mwanamke wa aina gani atakae kuza watoto wako? Hawa wanawake tunaoona wa kawaida sana mara nyingi wana misimamo japo sio wote na wanamalezi bora mtu akifika kuoa anaangalia maslahi ya kizazi chake ndipo unakuta fogo anaoa mke wa kawaida sana wakati pisi zipo kibao tu.

Mstakabali wa familia ndio nguzo kuu kwenye kutafuta mwenza
 
Katika maisha nilipokuwa mdogo mpaka kijana nilikua ninatembea na wasichana wazuri mno kwa sura na muonekano kupita maelezo, sasa nilivyokua nashangaa siku moja nikawaza tofauti kabisa nikasema mbona kyuma zote za hawa sijawahi ona yenye sura nzuri kama sura zao!? mbona unaweza kuta pisi kali akini kyuma kibuyu haina maajabu!? pia utakuta na pisi kali ila haina ucheshi au mambo flani hivi amazing kumfanya mwanaume apate utu utulivu na utelezi...
Nikagundua kuwa mwanamke sio sura bali ni maajabu yake na tabia, basi nikafanya research yangu nikagundua hakuna wanawake watamu duniani kama hao wanawake watu wanaowasema ni wa kawaida alooo hasa umpate wa rangi ya chocolate ndio ugonjwa wangu, hiyo kyuma ni ya moto balaa yaani utelezi wakutosha mno halafu kupyizi kunaangalia sura au umbo!? kupyizi bana issue ni iwe imezama kunakostahili tu
 
Back
Top Bottom