Wanawake wenye ndevu na kisimati cha pesa

Wanawake wenye ndevu na kisimati cha pesa

Mmmh...!! Me kuna jamaa angu alikua na mahusiano na binti mwenye ndevu yani ilkua tabu juu ya balaa..
 
ngoja nimtafute msemaji wa jesh la polisi nimuulize
msemaji.jpg
 
Nacheka tu hapa,kuna jamaa aliwahi kunambiA ukilala kwenye kitanda cha kamba unakuwa na kismati,tufanye mambo yetu tu tusijenge dhana..si dhambi kuwa na mwanamke mwenye ndevu...
 
Misstrace ana ndevu kama taleban na bado yupo hoi kifedha
 
Niko feri hapa, nawaona wengi tu wana ndevu na wanahangaika na mandoo ya samaki... hiki ndio kismati?

Acheni uchawi
 
Usisahau sikuhizi wanawake wanao tumia mkorogo ndevu zawatoka ati ss hata hizi nazo zinakismati ndugu.?
 
AISEE............. KWASASA NIKO MBEYA.

KWENYE WANAWAKE HAMSINI, WAWILI WANA NDEVU.

ILA HOHE HAHE TU.
 
AISEE............. KWASASA NIKO MBEYA.

KWENYE WANAWAKE HAMSINI, WAWILI WANA NDEVU.

ILA HOHE HAHE TU.
Kuna kaukweli flani maana wengi wanasema hivyo. mi ninazo ngoja nitafwatilia
 
Mimi ninazo jamani unachoongea ni kweli kabisa, nina ushahidi mpaka inafika kipindi kuachana na mtu inakuwa shida, analia kabisa kwamba mambo yake hayaendi asipokuwa na wewe au mkigombana, wengine wamekuwa ving'ang'anizi mpaka inakuwa kero, sio wanaume tu hata kwenye mambo kama ya biashara nk. mara nyingi huwa nafanya utafiti nagundua mambo mengi mbalimbali, am not sure kama yanahusika moja kwa moja na mimi kuwa na ndefu but what i see there must be a strong connection.
Wewe bila shaka ni mchagga tena pure[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji41]
 
Back
Top Bottom