Hapo nimekuelewa mkuu, kwa hio wenye vitambi wengine wameshindwa kuviondoa imebidi viendelee kuwepoSio wanawake wote wanaweza kubana matumbo baada ya kujifungua especially wanaojifungua kwa op. So kitambi kipo na kigumu kutoka ndio maana wengine wanaenda kufanya surgery ya kukitoa.
Matumbo yote yanasababishwa na ulaji wa hovyo especially wanga na sukari. Ukizingatia kula vyakula huwezi pata kitambi.Sio wanawake wote wanaweza kubana matumbo baada ya kujifungua especially wanaojifungua kwa op. So kitambi kipo na kigumu kutoka ndio maana wengine wanaenda kufanya surgery ya kukitoa.
Mmehamia kwenye vitambi tena hahah!
Usisahau wanawake wembamba, pia niwakorofii sanaa.Kwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?
Shukuru Mungu huna kitambi...Mmehamia kwenye vitambi tena hahah!
Vinakua kama sehemu ya mwili kama ilivyo pua na mdomoππHapo nimekuelewa mkuu, kwa hio wenye vitambi wengine wameshindwa kuviondoa imebidi viendelee kuwepo
Ebwanaweee kumbe ndio hivyo kilibatumboVinakua kama sehemu ya mwili kama ilivyo pua na mdomoππ
Njoo gym...mda wote unawaza hela tunaomba hiyo hela baba anguπ
ππππππnipe locationNjoo gym...mda wote unawaza hela tu
Tuslide Kwa pm nionee level ya kitambi kama ni Cha kupiga mazoezi mwenyw au Cha kupata usaidizi wa trainerππππππnipe location
Umetetea kitambi kwa herufi kubwa kbs[emoji23][emoji23]NIMEKATAAA....NI UONGOO!HIZO NI HUJUMA,HUJUMAA[emoji37]
ππππ ni hujumaUmetetea kitambi kwa herufi kubwa kbs[emoji23][emoji23]
Inatosha mkuu
Ulaji wa wabongo ni mbovu Sana. Unakuta asubuhi mtu anapiga chapati 3 na mtori au supu, mchana sahani ya ubwabwq ,nyama choma na soda au juice au maziwq mtindi, usiku tena saa tatu au saa nne ugali au ubwabwa sahani inahemea juu juu. Yaani hapo lazima mafuta yalundikane tumboni.
Nyie watamu kweli kweli yaani kipochi manyoya kimefichwa kwenye kipochi mafuta....unasogeza tumbo ndio uone mbususushapana bhana wanawake wenye vitambi hatunaga hasira wala jazba wewe
Sasa hapo shida nini sii anakula bwana...nyie mnataka tule kama wadhungu....sema tatizo kubwa wengi wetu tunatbelea matako na sio miguuUlaji wa wabongo ni mbovu Sana. Unakuta asubuhi mtu anapiga chapati 3 na mtori au supu, mchana sahani ya ubwabwq ,nyama choma na soda au juice au maziwq mtindi, usiku tena saa tatu au saa nne ugali au ubwabwa sahani inahemea juu juu. Yaani hapo lazima mafuta yalundikane tumboni.