Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Wala kutembelea matako sio shida, hata Watembea kwa miguu na wenyewe full vitambiSasa hapo shida nini sii anakula bwana...nyie mnataka tule kama wadhungu....sema tatizo kubwa wengi wetu tunatbelea matako na sio miguu
Sasa anatembea mita 600 tuu wapi. Tembea kama km15 kwa siku tuoneWala kutembelea matako sio shida, hata Watembea kwa miguu na wenyewe full vitambi
Wengi wao Ni single mazas wa kichagaKwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?
Huonaga wajawazito vitambi vikishatoka wanavyo kuwa na makasiriko halafu wakisha jifunguwa hukaa sawa 😂 😂Sioni kama kuna uhusiano. Maana unaweza kua na tumbo flat leo baada ya miezi 9 ukawa na kitambi cha uzazi. Ina maana tabia zitabadilika
Hivi kweli mimi sina kitambi lakini mamaa tambi hilo ni haki hii?
Ebu mpige pipe tu mkuu, utakuja kunishukuru badae...😋Kwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?
Hongera mkuuMimi sixpack sio ya mazoezi nimezaliwa hivyo IPO tu Sina kitambi na sijawahi kua nacho
Ukute amepiga suruali,MWASI KITOKO na NDAMBI inaogopesha sanaKwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?
Hongera atajipa mwenyewe mi n wa kutoa pole tuanakipenda mpe hongera😂😂
Acha kiburi wewe [emoji16]Hahhhhj nikiiingia peponi nikikukuta mimi natoka
HahahaKwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?