Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Kwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafuga hasira na jazba humo vitambiniKwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?
Ad wewehapana bhana wanawake wenye vitambi hatunaga hasira wala jazba wewe
Sababu hawana space kwenye mioyo yao ya kuhifadhi makasiriko so wanapasuka tu papo hapo Msinihukumu jamani sina kitambi[emoji23]Kwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?
nnacho na kinamwagika😂😂😂😂Ad wewe
Kikimwagika kizoe au hakizoleki kama maji yakishamwagika?nnacho na kinamwagika😂😂😂😂
anakizoa babe 😂😂😂Kikimwagika kizoe au hakizoleki kama maji yakishamwagika?
hujuma nzitoNIMEKATAAA....NI UONGOO!HIZO NI HUJUMA,HUJUMAA😖
🤣🤣🤣 watuacheeee🤨hujuma nzito
Hivi mazoezi inatibu kitambi????Muwachape wanawake zenu waende mazoezi.
Unakaaje na mwanamke anakitambi kama anakunywa beer?
Missionary mnafanyaje sasa?
Sema kweli auntHujakutana na wanawake wembamba Wana gubu balaa 🤣🤣