stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Duuuh punguza ugomviNawaoneaga huruma, honestly. Unamkuta kavaa tishet ila ukichek tumbo limekatika katika kama hivi huyu hapa alivyo
👇👇👇
View attachment 2907189
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh punguza ugomviNawaoneaga huruma, honestly. Unamkuta kavaa tishet ila ukichek tumbo limekatika katika kama hivi huyu hapa alivyo
👇👇👇
View attachment 2907189
Hapana mkuu..Punguzeni matumiz mabaya ya kula kula hovyo na mipombe wanawake.. take controll of your bodies ladies.Duuuh punguza ugomvi
Duuuh yaan kitambi kimeshuka km umekifanya nini?Hapana mkuu..Punguzeni matumiz mabaya ya kula kula hovyo na mipombe wanawake.. take controll of your bodies ladies.
Mkivaa jinsi unaona kabisaa kitabi kimeshuka kama umekibebelea
[emoji1787][emoji1787]Wanafuga hasira na jazba humo vitambini
Angalia ni nini hiko ndaninya jinsi kwa mbeleDuuuh yaan kitambi kimeshuka km umekifanya nini?
😂😂😂 😬 Punguza kidogo ugomvi 🤣Angalia ni nini hiko ndaninya jinsi kwa mbeleView attachment 2907221
ko umeamua kunisema live 😂😂undugu wetu na uisheAngalia ni nini hiko ndaninya jinsi kwa mbeleView attachment 2907221
nimemalizana nae tayari
Achana na huyu. We kakitambi kako ni flan amazing..lain lain ukikashika kana msisimko..kama vile vitambi kama vya wale wasukuma chapatko umeamua kunisema live 😂😂undugu wetu na uishe
Labda nsikukamate 🤣ntakupiga risas mpaka ufeumeniita😂😂
Achana na huyu stow away hajui tulipotoka, wivu tu unamsumbua. We huna kitambi..una kijitumbo.nimemalizana nae tayari
unanipanga sitaki😂Achana na huyu. We kakitambi kako ni flan amazing..lain lain ukikashika kana msisimko..kama vile vitambi kama vya wale wasukuma chapat
😂😂😂😂ndo kitambi changu hikoLabda nsikukamate 🤣ntakupiga risas mpaka ufe
Unakitambi cha mazoezi mkuu?Hakuna hayatibu yanaongeza
Mimi sixpack sio ya mazoezi nimezaliwa hivyo IPO tu Sina kitambi na sijawahi kua nachoUnakitambi cha mazoezi mkuu?
Njoo nikuandikishe uanze gym program😂😂😂😂ndo kitambi changu hiko
Sio wanawake wote wanaweza kubana matumbo baada ya kujifungua especially wanaojifungua kwa op. So kitambi kipo na kigumu kutoka ndio maana wengine wanaenda kufanya surgery ya kukitoa.Hivi kuna kitambi cha uzazi? Unasema ukweli?
naomba hiyo hela baba angu😂Njoo nikuandikishe uanze gym program