Ndio huwa lengo langu hilo Dada na bila kusahau kama kapendeza pia.ahahahahahh, na akiwa hajapendeza bila shaka unamwambia tu kwa nia njema. hahahaha
Ubarikiwe HajatiNdio huwa lengo langu hilo Dada na bila kusahau kama kapendeza pia.
Na huu uzi wako umenikumbusha Weekend iliyopita kuna Dada yangu alikuja nyumbani na nikamuweka sawa tena kwa kauli nzuri tu na mwenyewe akaona alivyovaa kile kiatu cha ile rangi kimeharibu ubora wa gauni yake.
Akishakukagua anajipa matumaini kwamba yeye ni mzuri kuliko weww.Huwa ninakereka sana na hili suala, pia linanipa shida kujua hasa lengo la wanawake walio wengi kushupalia kufanya hivi.
Wanawake walio wengi wakubwa kwa wadogo, wanatabia ambayo mimi binafsi inaniudhi sana.
Inanishangaza sana, mwanamke mwenzangu tunakutana njiani (tukiwa tunatembea kwa miguu) wakati wa kusalimiana LAZIMA AKUANGALIE KUANZIA KWENYE UNYAYO HADI KICHWANI. Tena bila aibu anaweza kurudia hata mara mbili au zaidi anakushusha anakupandisha! Hivi wanawake wenzangu tunakaguana nini? Huwezi kusalimia mtu bila kumchambua kuanzia chini hadi juu?
Tubadilike wanawake!!!
mh! ahsanteKweli huna kazi za kufanya unawaza kusalimiana asubuhi
Wanafik wakubwa blalifuuhahhaha, kweli kabisa, utasikia umependeza, mara naomba nikupige picha huu mshono wako nimeupenda!! hahahahah
Labda!Women are very complicated.
Usiwachukulie negatively. Maybe wamevutiwa na kitu kwako. Labda nywele, nguo ama kiatu.
Na anarudia mara mbili tatu ili aweke memory sawa akifika kwa fundi either wa nywele ama wa nguo atiririke.
hahahahah,Wanafik wakubwa blalifuu
😀😀Ukiona unakaguliwa sana jua uko vizuri!kama mbaya hawezi kukukagua akishaona lisura lako baya tu hakagui vingine
Sawa binti wa amiriZoea hiyo hali wanawake ndo walivyo na kubadilika ni ngumu unakuta mdomo unakuwa mzito kutoa salamu