Wanawake wenzangu kwa hili mnanichefua sana roho yangu

Labda!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Anakuangalia ili siku nyingine akikuona akukumbuke, mwingine anakuwa amevutiwa na mavazi yako hivyo anayaangalia vizuri, mbona haina mbaya.
 
Hahahaa. Kwa upande wangu ina ukweli mdogo wangu.
Ahsante Dada yangu kwa ufafanuzi mzuri
 
Me inanikera shosti kaja kwako kulala wakati unavaa anaanza kushangaa papuchi yako eti ooh hyo papuchi ni yako? Hee unaipaka nini?
Kwani wewe yako ipoje mbona huoneshi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Anakuangalia ili siku nyingine akikuona akukumbuke, mwingine anakuwa amevutiwa na mavazi yako hivyo anayaangalia vizuri, mbona haina mbaya.
πŸ™„πŸ˜³πŸ˜±πŸ˜΅πŸ˜‰
 
Msipoangaliwa mnaoga maji ya chumvi
Mkiangaliwa mnalalamika

Wengine mnavaa kituko inabidi urudie kuangalia ujiulize huyu veeepe
 
Macho yao hayana mionzi mikali ya kuona kilichopo ndani kama wanaume.. So kila wakipeleka macho Juu chini hawakioni wanaishia kuona nguo tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…