Wanawake wenzangu mnawezaje kumudu wanaume wabinafsi waongo wanaojifikiria wao tu?

Wanawake mnapitia mambo mazito, magumu na ya ajabu.

Mtu anakuficha wazazi wake? Muongo na mnaishi pamoja?

Mbona hii ngumu sanaa

Uongo huvunjisha mahusiano!!
 
Watu mnajua kujibu asee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Eeh wakati anakula kuku wa KFC kwenye crown Athlete ya kuazimwa alikuwa anajiona yeye ndio yeye sasa siri imefichuka sahizi analia lia ๐Ÿ˜… alee mtoto tu aache kelele!

Mwisho wa usley kwini ni majukumu๐Ÿคฉ
 
Huyo ni mimi kabisaa baada ya kumchunaa naye kaingia ki"baharia zaid:
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mkiambiwa ukweli mnaruka, acha mdanganywe tu...

Mkuu umetoka kwa mashoga sasa umehamia kwa mashababi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ