Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,389
- 1,063
Njoo kwangu mama [emoji23][emoji23][emoji23]Mm huwa navutiwa na mwanaume mrefu halafu asiwe mweupe hapo moyo wangu kwatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo kwangu mama [emoji23][emoji23][emoji23]Mm huwa navutiwa na mwanaume mrefu halafu asiwe mweupe hapo moyo wangu kwatu.
By then nitaanza kuku Cc usikue mpwekeDuh haya. Ngoja niapply hii trick. Asante
Teh teh..utahamisha mapenzi yangu. Stakiiii
naamiini nimeingia cha kike
Swahiba sisi wenye chama chetu... usitegemee kutajwa hapa.naamiini nimeingia cha kike
Ah kumbe penz uhama[emoji2]Teh teh..utahamisha mapenzi yangu. Stakiiii
Ndio. Unaweza ukawa unampenda mtu yeye hakupendi. Akatokea mwingine akakupenda na kukujali unajikuta ushahama.
Kwetu just ya friendship tuuNdio. Unaweza ukawa unampenda mtu yeye hakupendi. Akatokea mwingine akakupenda na kukujali unajikuta ushahama.
KaribuMm huwa navutiwa na mwanaume mrefu halafu asiwe mweupe hapo moyo wangu kwatu.
umenichekesha mkuu, kweli sisi huzimikia avanterAma kweli. Tangu 2016 hadi 2017 sijazimikiwa! Hata Rubii?
Au avatar mbovu?
We ndo nakuona leo
Teh teh kweli ndo nakuona leo
Kwa kicheko hiki bibie tafadhali usiache kunizimikia. Jina langu xuri.umenichekesha mkuu, kweli sisi huzimikia avanter
teh teh
yaan kulitamka nang'ata ulimi, cjui ukiitwa kimahaba linakaajeKwa kicheko hiki bibie tafadhali usiache kunizimikia. Jina langu xuri.