Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Mimi hata msiponizimikia... Nitabaki kuwa really gentleman tuu...
kwanza demu wangu anani zimikia kinoma tuu..
Halafu pili mie ni Engineer...
Yaan raha tuu..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
[emoji23][emoji23][emoji23]naona unajipa mahope
 
Ww mwanamke?
Si ulisema mumeo ana michepuko km 50 na pia umeomba ushauri.
Kulikoni tena au ndo kujiliwaza huku?
Ila angalia wakati mwingine unaweza kuwa ww ni sbb
 
[emoji28][emoji28][emoji28] naelekea kuleeee[emoji117][emoji117]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…