wee faiza foxy kumbe ni mwanaume?Ukiandika mambo ya maana hakuna wa kukushobokea hasa wane uliwahi kuona MTU anamtaja
1. Pasco
2. Ben saanane
3. Lizabon
4. Britanicca
5. Faiza foxy
6. Nyani ngabu
Wanaotajwa ni hao hao hata ukiangalia wamekaa kaa kwenye MM
Interesting, hamjanitaja bado [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanawake wenzangu tuambiane kweli ya moyoni mwanaume yupi mwenye mvuto kwako wa humu jf?
Unavutiwa na nini kwake, tuwe wakweli na wa wazi.
Binfsi navutiwa sana na mapanga3, kinachonivutia ni namna anavyopost nilifanya juhudi binafsi mpaka nikabahati kumuona kiukweli ni mtu anayejielewa na mwenye msimamo sana nilijaribu kumchomekea mambo fulani kabla sijaolewa lkn akanijibu kwa upole im sorry nafasi imejaaa. Nawewe mwenzangu emu funguka.
[emoji53] [emoji53]Mie ninaemzimikia anajijua
Ni mimi hapanimesahau jina lake nikimuona ndo namkumbuka
Namba sita ni mchanganyiko mkuu,yupo pande zote,dada VALENTINA humwambii kitu hapo.Ukiandika mambo ya maana hakuna wa kukushobokea hasa wanawake we uliwahi kuona MTU anamtaja
1. Pasco
2. Ben saanane
3. Lizabon
4. Britanicca
5. Faiza foxy
6. Nyani ngabu
Wanaotajwa ni hao hao hata ukiangalia wamekaa kaa kwenye MM
Kwan hamunioni jamani?
Duh!kwel nina gundu,yani wanawake wote hawa wa jf hakuna anaevutiwa na mimi kabisa?
Duh, itabidi nitafute swaga namimiHuna mapigoo
msaga sumu na warumi ni ndugu? wambea balaa
ha ha ha hii ndio JF bhana mtu ana ID zaidi ya moja na kila ID ina jinsia yake kichekesho kinakuja pale anapojichanganya ku comment ana komenti kikike hali ya kuwa ka log in kwa ID ya kiumeKuna mahali ulijiita Ali ikasababisha nikukimbie PM nikose madini yako maana hata babu yangu anayo
Sky eclat wewe ni mdada au mkaka
Aisee inabidi JF wakufungulie mashtaka,....yaani miaka minne JF umepost mara mbili tu?πππππππMm mgeni
Baada ya kushtukiwa ameediti neno...''Hainizuii kuwa haimzuii''....Hivi mnafikiri huku Jf ni kichaka cha watoto eeh? bravo Mkuu Gregoire's.Michepuko yake haimzuii kuendelea na maisha asije pata magonjwa ya stress bure
Hongera naona una account 2 nimeshangaa. Niliyemuuliza ni tofauti na aliyenijibu.
Kila lakheri
Kila siku unawachambua mkuu... gals hawapendi kusimangwa,wanapenda kubembelezwa tuu.atoto joanah Sweetiepie venossah irk Dinazarde miss_blossom LadyAJ Hivi nyote nyie hakuna anaenizimikia kweliiii???
mkuu vipi una jinsia mbili!Ingawa mm ni me,mimi mwenyewe namuelewa sana the boss
nimesahau jina lake nikimuona ndo namkumbuka