Wanawake weusi wana mvuto wa kipekee sana

Naunga mkono h Naunga mkono hoja.
 
Kitu ambacho sikielewi, sijawahi kutana na mtu ambaye hachukii watu wanaojichubua lakini cha kushangaza hao wanaojichubua huwa wanatetemesha street ndio maana wengi wanaunga tela kwa kujichubua kwa sababu hata wanawake weusi hawaonekani desirable kuliko wenye weupe feki.

Naamini hizi sifa zilizo mtandaoni kwa black beauties na chuki dhidi ya waliojichubua zingekuwa mtaani.wanawake wengi wasingejichubua

Ni sawa na wanawake wanaposema hawapendi wanaume weupe ila bado mtaani white fellas wanawasumbua kweli kweli
 
Faana wee chizi sana wallahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…