Wanawake weusi wazuri jamani dah 😋

Wanawake weusi wazuri jamani dah 😋

Mkulu niwekee jeusi moja halafu limejitwisha kilemba.Mi na mianamke mieusi mbalimbali.Wanawake weusi wote wauwae[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.

Unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu 😊😊

Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni 🌹🌹🌹🌹
Tayari🤣🤣🤣
 
Mweusi afu awe na tako flani hivi la saladsalad siyo ile mitako ya ndizi sita nusu kilo ya kitimoto na savannah nne.

Ni noma [emoji23][emoji23][emoji23], yale ya ndizi sita yanakuwaga mabaya, yanakuja kama yanaenda na yanaenda kama yanakuja hayaeleweki alafu ni malalamishi kweli kweliii
 
Back
Top Bottom