hujamboMmmh kaz ipo
[emoji23][emoji23][emoji23]Na hawafilisi mwanaume...kuliko weupe
Ukiona mtu kafilisika Tu ujue ana mwanamke au wanawake weupe wanampelekesha
boksa ya daimondi hyo kavaahuyu binti kavaa chupi au kitu gani au ni bukta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkulu niwekee jeusi moja halafu limejitwisha kilemba.Mi na mianamke mieusi mbalimbali.Wanawake weusi wote wauwae[emoji1][emoji1][emoji1]
Tayariπ€£π€£π€£Wanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.
Unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu ππ
Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni πΉπΉπΉπΉ
Heshima yako mkuuTayariπ€£π€£π€£
Sijambo kaka, uzima upo?Heshima yako mkuu
Hakika Mungu ni mwema. Uzima upo .. tunaendelea kutekeleza ndoto na maonoSijambo kaka, uzima upo?
Huku niliko mvua inachapa, vipi hukoHakika Mungu ni mwema. Uzima upo .. tunaendelea kutekeleza ndoto na maono
hapa nilipo kuna wingu tuHuku niliko mvua inachapa, vipi huko
Jiandae, huku ni heavy rain babaahapa nilipo kuna wingu tu
Boraa ipige kubwa sana.. ikatike jioni π πJiandae, huku ni heavy rain babaa
Hutaki kukosa maskani baadae?πBoraa ipige kubwa sana.. ikatike jioni π π
Na uzuri mvua za huki hazikopeshi
The black the berry, the sweeter the juice
Mweusi afu awe na tako flani hivi la saladsalad siyo ile mitako ya ndizi sita nusu kilo ya kitimoto na savannah nne.