Ndio mnatupiga pesa ndefu sana, sijui huko tumboni mlianza kupeana semina?[emoji41][emoji41] Sina hiyo tabia mkuu sema napendwa na weusi [emoji1787]
Dhem naogopa kukujibu ujueπ€£Sasa kwanini weusi wengi wanajichubua jamani chanzo siyo nyie wanaume mnaosifia hapa? Waambieni sifa za uzuri wao ili Iwape kujiamini...
Usiogope shem twende kazi...Dhem naogopa kukujibu ujueπ€£
Ndio mnatupiga pesa ndefu sana, sijui huko tumboni mlianza kupeana semina?
Asante mama mzunguu, yaaani mimi nikiuona wanawake weupe kama nyie hua nasuuzika moyo Sana!!ππNipo hapa mkuuβ¦ tunapendwaga na wanaume weusi wale wa kanda ya ziwa na kusini [emoji23][emoji23]
Lakn s n mweusi zuchuAwe hivi aringee hii ni editing bishoo Zuchu hana hiyo rangi
SinaUna mama!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dahWanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu [emoji4][emoji4]
Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni [emoji257][emoji257][emoji257][emoji257]
Mimi wanawake weupe ndo wachukue πΉπΉπΉπΉWanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu ππ
Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni πΉπΉπΉπΉ
Kufilisi na rangi vina uhusiano?Na hawafilisi mwanaume...kuliko weupe
Ukiona mtu kafilisika Tu ujue ana mwanamke au wanawake weupe wanampelekesha
[emoji23][emoji23]Nayapokea[emoji847][emoji847]
na wewe ni mweusi?[emoji23][emoji23]
Kama andaazi[emoji23][emoji23]na wewe ni mweusi?
upewe maua yakoπKama andaazi[emoji23][emoji23]
Asante napokea kwa mikono miwiliupewe maua yako[emoji39]