Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mnatupiga pesa ndefu sana, sijui huko tumboni mlianza kupeana semina?[emoji41][emoji41] Sina hiyo tabia mkuu sema napendwa na weusi [emoji1787]
Dhem naogopa kukujibu ujue🤣Sasa kwanini weusi wengi wanajichubua jamani chanzo siyo nyie wanaume mnaosifia hapa? Waambieni sifa za uzuri wao ili Iwape kujiamini...
Usiogope shem twende kazi...Dhem naogopa kukujibu ujue🤣
Ndio mnatupiga pesa ndefu sana, sijui huko tumboni mlianza kupeana semina?
Asante mama mzunguu, yaaani mimi nikiuona wanawake weupe kama nyie hua nasuuzika moyo Sana!!😄😄Nipo hapa mkuu… tunapendwaga na wanaume weusi wale wa kanda ya ziwa na kusini [emoji23][emoji23]
Lakn s n mweusi zuchuAwe hivi aringee hii ni editing bishoo Zuchu hana hiyo rangi
SinaUna mama!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dahWanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu [emoji4][emoji4]
Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni [emoji257][emoji257][emoji257][emoji257]
Mimi wanawake weupe ndo wachukue 🌹🌹🌹🌹Wanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu 😊😊
Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni 🌹🌹🌹🌹
Kufilisi na rangi vina uhusiano?Na hawafilisi mwanaume...kuliko weupe
Ukiona mtu kafilisika Tu ujue ana mwanamke au wanawake weupe wanampelekesha
[emoji23][emoji23]Nayapokea[emoji847][emoji847]
na wewe ni mweusi?[emoji23][emoji23]
Kama andaazi[emoji23][emoji23]na wewe ni mweusi?
upewe maua yako😋Kama andaazi[emoji23][emoji23]
Asante napokea kwa mikono miwiliupewe maua yako[emoji39]