Wanawake weusi wazuri jamani dah 😋

Wanawake weusi wazuri jamani dah 😋

Wanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu 😊😊

Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni 🌹🌹🌹🌹
uwe unaitag kwenye mada za msingi kama hizi bro😂

ngoja nitembeze likes
 
Screenshot_20230819-173141.png
 
Mtanadi sana sijui chokoleti color,maji kunde ila ukweli mwanamke mweupe anaonekana zaidi!!😄😄

Mwanamke mweusi akiwa na muonekano mbaya ndo anazidi kuwa mbaya zaid😳😳😳😳

Mweupe akiwa hata ana muonekano mbaya weupe wake humbeba kupunguza makali madhaifu yake, ataonekana mzuri kinamna
 
Mtanadi sana sijui chokoleti color,maji kunde ila ukweli mwanamke mweupe anaonekana zaidi!!😄😄

Mwanamke mweusi akiwa na muonekano mbaya ndo anazidi kuwa mbaya zaid😳😳😳😳

Mweupe akiwa hata ana muonekano mbaya weupe wake humbeba kupunguza makali madhaifu yake, ataonekana mzuri kinamna
Asante kwa mawazo yakoo.. ila weusi ni 🔥🔥🔥🔥... huwezi linagnisha mweupe na mweusi mkuu..
 
Back
Top Bottom