Wanawake weusi wazuri jamani dah πŸ˜‹

Wanawake weusi wazuri jamani dah πŸ˜‹

Utakuwa wewe ni wale wakaka weupe[emoji23][emoji23]

Hata sisi wadada hatuvutiwi na wanaume weupe tunapenda weusi

Mwanaume black tall and handsome with white woman[emoji13][emoji13][emoji38]
Uwe mweupe usiwe mweupe ukiwa na pesa dakika tano ni nyingi chupi unaikuta chini ya uvungu imejiviringa kama raba bendi.
 
Ona hata wasanii % kubwa madem/ wake zao ni weupe!!!
Nyie mnaoa weusi mnaanza kujatongoza wake zetu weupe, mwishoe mnatuua kwa presha [emoji1][emoji1]

Wadada weupe mko wapi nawapigania soko lenu huku nyie kimya!! Mmoja anionge upapa mweupe wenye v v u zi laiiini km vimalaika[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Nipo hapa mkuu… tunapendwaga na wanaume weusi wale wa kanda ya ziwa na kusini [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom