Wanawake wote wakiwa independent...wanaume tutalia.......

huyo anataka kubatilisha ndoa, kama mtu anataka kuwa independent basi asiolewe ili kukwepa vijimaswali vidogovidogo,hata haki za binadamu zina mipaka heee na ndoa nayo ina maadili yake, mimi nahisi huyo mama kichwani hazimo timamu

Afu ukimchunguza vizuri huyo alokuambia utasikia amemchukua mume wa mtu au anapenda dogodogo (shangingi)
 
yeah inaonekana ni kwa mujibu wa makubaliano yake na mumewe sasa anabadilisha na kusema kwa mujibu wa haki za binadamu

Bado anaamini ni mapinduzi yote yanaanzia ndani ya familia mpaka National level
 
Mkuu tupe namba yake ya simu tuifanyie kazi, please...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…