Wanawake zaidi ya 35 watekwa nyara Nigeria wakirudi kumsindikiza Bi harusi

Wanawake zaidi ya 35 watekwa nyara Nigeria wakirudi kumsindikiza Bi harusi

Wazee wa makobazi bana wanafaidi kweli kweli

Hapo watajipigia weeee na wakivamiwa na kuuwawa wanakwenda kukutana na zingine 72 zinawasubiri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwa Najiuliza nchi ndogo Kama Nigeria,

1. Boko Haram wanamiliki vipi silaha nzito za kijeshi na kuzionyesha kwny video afu wasijulikane walipo

2. Wanateka vipi mamia ya watu na kuwaficha mafichoni wasijulikane kbs walipo miezi na miaka Hadi wanarudishwa Wana watoto kabisa

Wakati ukiiangalia Nigeria haiifikii hata ukubwa mkoa wa morogoro

Haiwezekani iwe ndogo kama mkoa wa morogoro. Kumbuka Nigeria ina population ya watu karibu Mil 250
 
Back
Top Bottom