wanayakyusa kwa kujidai hadi kwenye lugha, mweeeeeeee!

wanayakyusa kwa kujidai hadi kwenye lugha, mweeeeeeee!

Mweleze bana sio mtu unakulupuka tu mbona sasa hv watu wanaongea kiswanglish mmh? Mweee! Abya janga lol bya lene mbombo!


Abya janga mwenyewe! tusiseme ukweli? mbombo iko wapi hapa. Semeni mlikotoa maneno hayo.......kama si kujikweza na lugha ya watu......alafu ikawashinda ni nini?

Halafu ukiwakuta wanyakyusa 2 au zaidi(hasa wanawake) wanaongea lugha yao. Utadhani kuna ugomvi.

huyu..."filombe fya komoni ....x%^&**"......yule...."namlonda baba lugano....tangu jusi si jui abhukile kughu?.."......n.k....................halafu volume = MAXIMUM.....................lol..............MWE!
 
Itakuwa Mwingereza alikaa kaa huko Unyakyusani. Maana Uchangani nako Muingereza alikaa toroli wanaitwa wilibaro.
 
Back
Top Bottom