Wanayanga epukeni propaganda zilizoanzishwa na wajinga wachache kuhusu kocha Nabi

Wanayanga epukeni propaganda zilizoanzishwa na wajinga wachache kuhusu kocha Nabi

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Kumezuka kamjadala uchwala toka kwa waandishi uchwala kueneza habari za kipuuzi kuwa kocha nabi kapewa mechi 2, wapuuzi hawa wanajitahidi kupandikiza hiyo propaganda ili kumuondelea utulivu na kulivuruga benchi la ufundi, hakuna kikao chochote kilichojadili kitu Kama icho nikiwa mmoja wa wat u muhimu ndani ya uongozi wa yanga.

Huyo mpuuzi aliyezusha hilo jambo tunamchukulia kama ayawani tu anaetumika ili apate mkate wake wa kila siku, atuko tiyali na atutokuwa tiyali kukaribisha mbinu yoyote ile chafu kutuondoa kwenye mipango na mikakati yetu, tunarudia tena Nabi bado yupo Sana yanga na ataendelea kuwepo kuijenga timu na tutampa kila aina ya msaada kuhakikisha anayafikia malengo yake aliyokabidhiwa na uongozi.

Tunakwenda Nigeria kupambana kiume, bado tunazo dk 90 nyingine ndani ya uwanja wanaobeza wabeze lakini tunajua tunachokifanya ni suala la muda tu kwani muda ni mwl mzuri Sana, Nabi ataendelea kuchapa kazi yanga wanaosubilia tumfukuze watafute kichaka kingine hizo propaganda mfu zimeshaferi
 
Samahani sana mleta mada hapa sio kwa lengo baya

kuna sehemu umeongelea habari za mikakati ya Yanga. Hivi ni kweli Yanga wanamkakati wowote wa kimpira? maana naona kama wapo wapo tu, wanasajili timu mpya kila mwisho wa msimu, wanafukuza makocha bila mpangilio au mwenzetu we unaweza kuona mbali et🙄🙄🐸🐸
 
Samahani sana mleta mada hapa sio kwa lengo baya

kuna sehemu umeongelea habari za mikakati ya Yanga. Hivi ni kweli Yanga wa mkakati wowote wa kimpira? maana naona kama wapo wapo tu, wanasajili timu mpya kila mwisho wa msimu, wanafukuza makocha bila mpangilio au mwenzetu we unaweza kuona mbali et🙄🙄🐸🐸
Hakuna klabu ambayo uwa haisajili kama malengo ayajafikiwa na wachezaji husika, klabu inao utaratibu wake wa kufanya kazi na mikataba ya wachezaji inakuwa na vipengele vingi ambavyo sio mpaka shabiki au mwanachama ajue undani wake, mchezaji ambae anashindwa kuutumikia mkataba wake ipasavyo lazima vigezo na masharti ndani ya mkataba vizingatiwe,

yanga isingesajili mngekuja apa tena kusema aijasajili, yanga itaendelea kusajili mpaka pale watakapofikia malengo yao ya timu ainayotakiwa hilo halina mjadala, unapomuongelea mchezaji Kama sarpong kwa mfano alisajiliwa kutoka Rwanda akiwa kinara wa mabao kule lakini alikuja apa akashindwa Kuonyesha kile alichokuwa nacho sasa angeachwa tu eti kwasababu watasemwa kuwawanasajili kila msimu? Huo ni mfano mdogo tu nimekupa.

Kwahiyo mipango ya yanga kwenye kuijenga timu ni mikubwa hatuwezi kuongea kila kitu apa kwasababu maadui ni wengi yatakuwa yanaonekana kwa vitendo, na tupo kwenye right way hizo kelele zinazopigwa na wapuuzi huko kwenye mitandao tunazipuuza tu maana haziwezi kututoa kwenye reli kamwe tuko I mar a Sana kipindi hiki kuliko kipindi chochote kile acha waendelee kubwata
 
Huyu Kocha si ndio Yule alitimuliwa El Merrekh?

Sidhani Kama Yanga Wanaweza Kuwa na Uvumilivu huo...! Labda aende Akapindue Meza Ya Rivers ndo itakuwa Salama Yake...!
 
Hakuna klabu ambayo uwa haisajili kama malengo ayajafikiwa na wachezaji husika, klabu inao utaratibu wake wa kufanya kazi na mikataba ya wachezaji inakuwa na vipengele vingi ambavyo sio mpaka shabiki au mwanachama ajue undani wake, mchezaji ambae anashindwa kuutumikia mkataba wake ipasavyo lazima vigezo na masharti ndani ya mkataba vizingatiwe, yanga isingesajili mngekuja apa tena kusema aijasajili, yanga itaendelea kusajili mpaka pale watakapofikia malengo yao ya timu ainayotakiwa hilo halina mjadala, unapomuongelea mchezaji Kama sarpong kwa mfano alisajiliwa kutoka Rwanda akiwa kinara wa mabao kule lakini alikuja apa akashindwa Kuonyesha kile alichokuwa nacho sasa angeachwa tu eti kwasababu watasemwa kuwawanasajili kila msimu? Huo ni mfano mdogo tu nimekupa ,kwaiyo mipango ya yanga kwenye kuijenga timu ni mikubwa atuwezi kuongea kila kitu apa kwasababu maadui ni wengi yatakuwa yanaonekana kwa vitendo, na tupo kwenye right way hizo kelele zinazopigwa na wapuuzi huko kwenye mitandao tunazipuuza tu maana haziwezi kututoa kwenye reli kamwe tuko I mar a Sana kipindi hiki kuliko kipindi chochote kile acha waendelee kubwata
Ndio! ndio! najaribu kama kukuelewa asee ila bado kidogo.Sema nini tutawaeleza nini watu jamani maana naskia wale wajomba wa Nigeria wamesema ile show yao ya kwa Mkapa ilikuwa kama mazoezi sasa nsijue kinachofuata huko

Tizama haya si maneno yangu ila ni technical bench ya Rivers United imesema hivo kwahyo usije sema mi Uto na watakia ubaya hapana
 
baada ya mwezi yanga watakua wa 78 kwa viwango CAF, huku wanajiita mabingwa wa nchi
 
Kumezuka kamjadala uchwala toka kwa waandishi uchwala kueneza habari za kipuuzi kuwa kocha nabi kapewa mechi 2, wapuuzi hawa wanajitahidi kupandikiza hiyo propaganda ili kumuondelea utulivu na kulivuruga benchi la ufundi, hakuna kikao chochote kilichojadili kitu Kama icho nikiwa mmoja wa wat u muhimu ndani ya uongozi wa yanga.

Huyo mpuuzi aliyezusha hilo jambo tunamchukulia kama ayawani tu anaetumika ili apate mkate wake wa kila siku, atuko tiyali na atutokuwa tiyali kukaribisha mbinu yoyote ile chafu kutuondoa kwenye mipango na mikakati yetu, tunarudia tena Nabi bado yupo Sana yanga na ataendelea kuwepo kuijenga timu na tutampa kila aina ya msaada kuhakikisha anayafikia malengo yake aliyokabidhiwa na uongozi.

Tunakwenda Nigeria kupambana kiume, bado tunazo dk 90 nyingine ndani ya uwanja wanaobeza wabeze lakini tunajua tunachokifanya ni suala la muda tu kwani muda ni mwl mzuri Sana, Nabi ataendelea kuchapa kazi yanga wanaosubilia tumfukuze watafute kichaka kingine hizo propaganda mfu zimeshaferi
Wabondei wanasema boo! Kuna kocha mmoja nadhani Kama sio kaze basi atakua aliemtangulia kaze zilianza tetesi Kama hivi badae viongozi Kama kawaida yao kwa kufuata mihemuko ya mashabiki wakaja kukanusha kwamba ni taarifa feki,kutumba na kufumbua haijapita hata wiki kweli kocha akatimuliwa.
Kwahiyo hata katika Hilo yote ya yanayozuka mitandaoni yanawezekana.
 
Ndio! ndio! najaribu kama kukuelewa asee ila bado kidogo.Sema nini tutawaeleza nini watu jamani maana naskia wale wajomba wa Nigeria wamesema ile show yao ya kwa Mkapa ilikuwa kama mazoezi sasa nsijue kinachofuata huko

Tizama haya si maneno yangu ila ni technical bench ya Rivers United imesema hivo kwahyo usije sema mi Uto na watakia ubaya hapana
Viongozi wa yanga wanatumia mtaji wa ujinga wa watanzania kuwahadaa wapenzi,wanachama na mashabiki wa yanga.Viongozi hata hawajui wanachokitaka na Nini malengo mahsusi.Hao wachezaji wanaowachukua kwa mkopo kutoka Congo ni mara 100 wakatafta ata wachezaji watatu tu wenye kiwango hata Cha morisson wanaweza wakawa na impact kuliko hao 10 wanaosajiliwa Kila msimu na kuachwa mwisho wa msimu.
 
Viongozi wa yanga wanatumia mtaji wa ujinga wa watanzania kuwahadaa wapenzi,wanachama na mashabiki wa yanga.Viongozi hata hawajui wanachokitaka na Nini malengo mahsusi.Hao wachezaji wanaowachukua kwa mkopo kutoka Congo ni mara 100 wakatafta ata wachezaji watatu tu wenye kiwango hata Cha morisson wanaweza wakawa na impact kuliko hao 10 wanaosajiliwa Kila msimu na kuachwa mwisho wa msimu.
Klabu yenye wajinga ni moja tu, Simba. Kauli iyo ilithibitishwa na aliyekua mwenye kiti wao Ismail Aden Lage kwenye press conference aliyo itisha. Kwenye taarifa iyo rasmi ya uongozi wa Simba aliongeza neno si tu Kama ni wajinga bali ni ma mbumbumbu walio bobea.
 
Klabu yenye wajinga ni moja tu, Simba. Kauli iyo ilithibitishwa na aliyekua mwenye kiti wao Ismail Aden Lage kwenye press conference aliyo itisha. Kwenye taarifa iyo rasmi ya uongozi wa Simba aliongeza neno si tu Kama ni wajinga bali ni ma mbumbumbu walio bobea.
Sawa kwa sababu simba pia ni watanzania na Mimi katika comment yangu nimesema Ujinga wa watanzania kwa ujumla,sijasema Ujinga wa mashabiki wa team flani.Kwa sababu sisi watanzania bado ni wajinga sana
 
Tangu yanga waachane na metacha Mnata,Meneja wake Metacha ambae ni jemedari said pia ni mchambuzi 'uchwara' kutoka EFM amekua akiisakama yanga hivi karibuni kwa mambo mabaya.

Mwanzoni alikuja na hekaya za Ibrahim ajibu kuja Yanga mpaka ikapelekea kutokea mtafaruku dhidi yake na Mjumbe wa kamati ya mashindano ya Yanga,Ndugu Arafat.

Juzi alikuja na hekaya nyingine za Nabi kutimuliwa huku akishirikiana na wazandaki wenzie kueneza hizo propaganda lakini nazo zikazimwa na advocate Simon.

Wakaona haitoshi,Jana wamekuja na propaganda kua wachezaji wawili wa yanga wanaumwa covid19,Hivo hawataweza kucheza mechi ya mkondo wa pili dhidi ya river.

Inaonekana huyu jamaa akishirikiana na wazandaki wenzie wanafanya hii kazi ili kunufaisha mtu fulani au kikundi fulani,Ambacho kinaonekana kua na personal interest ikiwa yanga itaharibikiwa.
 
Back
Top Bottom