nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Naona shangwe kubwa utopoloni kuhusu Kina Mosha na Bin kleib, hivi nyie watu mshasahau kina kaburu hata hans pope na aveva walichokuwa wanafanya simba? ndicho hicho cha kina Mosha na Bin kleib
Ila hongera kwa mwenyekiti msolla umeleta "wahuni wa soka la bongo" kuku protect hapo klabuni maan ahata zogo la mapato ya juzi ya utopolo day ulionyeshwa dharau sana na unajua soon senzo mfumo mpya ukianza ndo kabisa utaonekana useless kuliko sasa hivi
Ndugu zangu wana utopolo aliyewaambia kina Mosha na Gsm wanaiva ni nani? najua mtatukana kama tulivyosema kuhusu Nugaz na Bumbuli kukasirika uwepo wa msukule mkabisha na hili mtakuja kukiri siku moja
Nikireport toka kurasini bandarini ni mimi nzagambadume a.k.a MZEE TOZI..MZEE M bad KABISA KIBOKO YA MAJITU YENYE TAMAA YA PESA..WAZEE WA BANDARI MELI HIYOOO POOOOOOH
Ila hongera kwa mwenyekiti msolla umeleta "wahuni wa soka la bongo" kuku protect hapo klabuni maan ahata zogo la mapato ya juzi ya utopolo day ulionyeshwa dharau sana na unajua soon senzo mfumo mpya ukianza ndo kabisa utaonekana useless kuliko sasa hivi
Ndugu zangu wana utopolo aliyewaambia kina Mosha na Gsm wanaiva ni nani? najua mtatukana kama tulivyosema kuhusu Nugaz na Bumbuli kukasirika uwepo wa msukule mkabisha na hili mtakuja kukiri siku moja
Nikireport toka kurasini bandarini ni mimi nzagambadume a.k.a MZEE TOZI..MZEE M bad KABISA KIBOKO YA MAJITU YENYE TAMAA YA PESA..WAZEE WA BANDARI MELI HIYOOO POOOOOOH