Wanayanga tuwe makini na huu uzushwi unavumishwa kila uchao wenye lengo la kumchafua zahera.

Wanayanga tuwe makini na huu uzushwi unavumishwa kila uchao wenye lengo la kumchafua zahera.

Arabi Nanjewa

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2017
Posts
325
Reaction score
410
Habarini wanabodi.
Kumekua na jitahada na matumizi ya nguvu kubwa ya kipropaganda inayoenezwa na wasioitakia mema timu yetu ambayo huzua taharuki miongoni mwa wanayanga. Iko wazi kuwa kocha wetu zahera amekua mwiba kwa washindani wetu kwa misimamo yake isiyotetereka. Kocha huyu kipenzi cha wanajangwani amekua akizushiwa mambo mengi kwa lengo la kumgombanisha na uongozi na mamlaka. Tuwe makini si kila habari ina ukweli sometime ni upotoshaji tu
 
Uongozi vs Mamlaka unamaanisha nini?
Serikali na Akilimali au?
Habarini wanabodi.
Kumekua na jitahada na matumizi ya nguvu kubwa ya kipropaganda inayoenezwa na wasioitakia mema timu yetu ambayo huzua taharuki miongoni mwa wanayanga. Iko wazi kuwa kocha wetu zahera amekua mwiba kwa washindani wetu kwa misimamo yake isiyotetereka. Kocha huyu kipenzi cha wanajangwani amekua akizushiwa mambo mengi kwa lengo la kumgombanisha na uongozi na mamlaka. Tuwe makini si kila habari ina ukweli sometime ni upotoshaji tu
 
Habarini wanabodi.
Kumekua na jitahada na matumizi ya nguvu kubwa ya kipropaganda inayoenezwa na wasioitakia mema timu yetu ambayo huzua taharuki miongoni mwa wanayanga. Iko wazi kuwa kocha wetu zahera amekua mwiba kwa washindani wetu kwa misimamo yake isiyotetereka. Kocha huyu kipenzi cha wanajangwani amekua akizushiwa mambo mengi kwa lengo la kumgombanisha na uongozi na mamlaka. Tuwe makini si kila habari ina ukweli sometime ni upotoshaji tu
Wapeni wachezaji pesa zao wanazodai mkuu , huku kulia lia hakuta wanusuru
 
Back
Top Bottom