Wanayanga wenzangu mimi nipo pamoja na wazee wetu, tuwaunge mkono

Wanayanga wenzangu mimi nipo pamoja na wazee wetu, tuwaunge mkono

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mimi kama Mwanayanga lia lia naunga mkono hatua ya mahakama tutengua uongozi uliopo kwenye club yetu. Kwani haukuzingatia katiba yetu.

Wazee wameupiga mwingi tuwapongeze, tusiwabeze, kwani wanateta maslahi ya club yetu, uongozi uliopo ni wakijanja janja tuukatae.

Kesho asubuhi na mapema tukutane pale makao makuu ya club na mabango yanayosomeka. Hersi out out hatukutaki.

PIA SOMA
- Millard: Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
 
1721164388048.jpg
 
Hao wazee ni kumwachia Manara si kafunguliwa...basi yeye atawaweza
 
Makolo mna shida kwel kwel , tabu ipo pale pale
 
Mimi kama Mwanayanga lia lia naunga mkono hatua ya mahakama tutengua uongozi uliopo kwenye club yetu. Kwani haukuzingatia katiba yetu.

Wazee wameupiga mwingi tuwapongeze, tusiwabeze, kwani wanateta maslahi ya club yetu, uongozi uliopo ni wakijanja janja tuukatae.

Kesho asubuhi na mapema tukutane pale makao makuu ya club na mabango yanayosomeka. Hersi out out hatukutaki.

PIA SOMA
- Millard: Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
Hao wazee ni Wachawi.

Fanyeni kazi acheni kutaka maisha rahisi.
 
Back
Top Bottom