Wanayanga wenzangu. Shangilieni Tuna Bao 3-0 mpaka sasa Tumeshatengeneza Miundombinu Namungo Chali

Wanayanga wenzangu. Shangilieni Tuna Bao 3-0 mpaka sasa Tumeshatengeneza Miundombinu Namungo Chali

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Achaneni na Simba jana wamecheza na team Dhaifu. Sisi leo tunamchakaza Namungo macho makavu kabisa. Miundo mbinu imeshafanyika analala kwa Bao 3-0 mapema tu.

Namungo hamna kitu hapa. Hawa tunawamudu sana. Tunawagonga tatu na point zetu 3 tunajishindilia kileleni. Mwaka huu Kombe letu. Piga ua garagaza, ponda ponda...saga kabisa choma moto. Ubingwa ni wa Yanga. Tunacheza ndani na nje ya Uwanja.

Daima mbele....nyuma mwiko.
 
Achaneni na Simba jana wamecheza na team Dhaifu. Sisi leo tunamchakaza Namungo macho makavu kabisa. Miundo mbinu imeshafanyika analala kwa Bao 3-0 mapema tu.

Namungo hamna kitu hapa. Hawa tunawamudu sana. Tunawagonga tatu na point zetu 3 tunajishindilia kileleni. Mwaka huu Kombe letu. Piga ua garagaza, ponda ponda...saga kabisa choma moto. Ubingwa ni wa Yanga. Tunacheza ndani na nje ya Uwanja.

Daima mbele....nyuma mwiko.
Mmewahonga?
 
Achaneni na Simba jana wamecheza na team Dhaifu. Sisi leo tunamchakaza Namungo macho makavu kabisa. Miundo mbinu imeshafanyika analala kwa Bao 3-0 mapema tu.

Namungo hamna kitu hapa. Hawa tunawamudu sana. Tunawagonga tatu na point zetu 3 tunajishindilia kileleni. Mwaka huu Kombe letu. Piga ua garagaza, ponda ponda...saga kabisa choma moto. Ubingwa ni wa Yanga. Tunacheza ndani na nje ya Uwanja.

Daima mbele....nyuma mwiko.
Ukisikia uchawi ndio huu
 
Mdogo mdogo mnaanza kudondosha pointi wakati wenzenu Simba gari limekata breki; na Jumatano mnaumana wenyewe ili kuamua nani atatangulia kuwapisha Simba .

Vv
 
Back
Top Bottom