Wanayanga wenzangu. Shangilieni Tuna Bao 3-0 mpaka sasa Tumeshatengeneza Miundombinu Namungo Chali

Wanayanga wenzangu. Shangilieni Tuna Bao 3-0 mpaka sasa Tumeshatengeneza Miundombinu Namungo Chali

Achaneni na Simba jana wamecheza na team Dhaifu. Sisi leo tunamchakaza Namungo macho makavu kabisa. Miundo mbinu imeshafanyika analala kwa Bao 3-0 mapema tu.

Namungo hamna kitu hapa. Hawa tunawamudu sana. Tunawagonga tatu na point zetu 3 tunajishindilia kileleni. Mwaka huu Kombe letu. Piga ua garagaza, ponda ponda...saga kabisa choma moto. Ubingwa ni wa Yanga. Tunacheza ndani na nje ya Uwanja.

Daima mbele....nyuma mwiko.
Angalia sasa unavyoumbuka. Yaani baada ya Kuona GENTAMYCINE huwa napatia Tabiri zangu kwa 99% nawe umekuja ya yako iliyokosewa 100%.
 
Huwa unatabiria wapi? Maana sijawahi ona unachosema unatabiri.

Angalia sasa unavyoumbuka. Yaani baada ya Kuona GENTAMYCINE huwa napatia Tabiri zangu kwa 99% nawe umekuja ya yako iliyokosewa 100%.
 
Sijawahi ona Chizi kufanikiwa zaidi ya kuokota Makopo 😂😂
 
mimi nko tayari kiweka dau na kama ubashiri wangu utakuwa tofauti basi ntakutumia hiyo pesa kupitia no. yako ya simu unayotumia.

na kama ubashiri wangu utakuwa wa kweli utafanya hivyo hivyo na kwangu mm pia.

hivyo tumepinga.
Sawa sawa mkuu, ila yangu mimi sijui kama ntaituma aisee😀😀 ,ila let's wait and see💪
 
Back
Top Bottom