Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Yah! Nakubali sababu kikawaida huwezi hitimisha kitu kwa habari za kusikia tu wakati muhusika mwenyewe amekataa.Okay, on your own opinion.
Unakubali?
Siku akithibitisha kwa kauli yake nitakuwa upande wako Mtani. Ila kwa sasa. NO.