WANAYANGA ZAHERA NI KOCHA AU WAKALA?

Yah! Nakubali sababu kikawaida huwezi hitimisha kitu kwa habari za kusikia tu wakati muhusika mwenyewe amekataa.

Siku akithibitisha kwa kauli yake nitakuwa upande wako Mtani. Ila kwa sasa. NO.

Sawa na Mwenyekiti alisema Makambo alienda kufanyiwa vipimo tu, mauzo bado mpaka wao wakae na viongozi wenu.

Media zinasema Makambo alisign mkataba wa miaka 3, vipi hapo?
 
Sawa na Mwenyekiti alisema Makambo alienda kufanyiwa vipimo tu, mauzo bado mpaka wao wakae na viongozi wenu.

Media zinasema Makambo alisign mkataba wa miaka 3, vipi hapo?
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Mtani we najua unaziamini hizo Media ila kwangu hapana pia.

Nitaamini siku msimu mpya utakapoanza na Makambo akawa si mmoja wao katika timu ya wananchi au Yanga itakapotangaza rasmi.
 

Mtani kweli umekunywa maji ya bendera.

Pole sana, Makambovic ndo kashasepa.
 
Mapovu nayaona tu kwa mbaaaali πŸ‘“πŸ‘“πŸ‘“πŸ‘“
 
Zahera kakataa kukabidhi madaraka kwa Yanga mpya

Kuna hela anawadai alizokuwa anafadhili timu, akimaliza kuuza wachezaji na kujilipa, atakabidhi madaraka kwa uongozi mpya, kwa sasa ngoja auze wachezaji kwanza alipe deni lake, ambalo wadaiwa pia hawalijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…