Wanayoichambua hukumu ya Sabaya kisheria wanakosea Sana. Akijua kuchezesha kete za kisiasa vizuri akakata rufaa anashinda kesi asubuhi.

Wanayoichambua hukumu ya Sabaya kisheria wanakosea Sana. Akijua kuchezesha kete za kisiasa vizuri akakata rufaa anashinda kesi asubuhi.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Si kweli eti utawala huu unatenda haki na kufata Misingi ya kisheria ndio maana Sabaya kafungwa. La hasha.

Kuna Wabunge wapo bungeni Leo bila kuwa na chama. Na wameingia kimizengwe mizengwe. Serikali iko kimya akuna anayeshugulika na uvunjifu huo wa Katiba.

Sheria na Katiba inatambua haki ya vyama shindani kufanya mikutano ya kisiasa. Sasa utawala umeharamisha waziwazi mikutano ya nje na ndani na hakuna anayekohoa.

Kwenye Sheria za kiutumishi wa umma 2% annual salary increment ipo kisheria lkn ndani ya utawala mpya imefinywa pia.

Nachotaka kusema hapa NI kuwa nje ya uhalifu wa Sabaya Kuna Mambo hakuwa sawa na mamlaka. Na hukumu yake ikawe funzo kwa watu wote ambao wanazani bado Wana nguvu na wanaongozwa na mtu aliyetangulia mbele ya haki na kuendelea kumuheshimu na kumtukuza yeye na kuweka kiburi na kumdharau kiongozi aliyopo.

Sabaya akijua alipokosea ajisahishe akate rufaaaa. Sisi wabongo Sheria bado Sana ndio maana Mdee NI Mbunge mpaka leo
 
Si kweli eti utawala huu unatenda haki na kufata Misingi ya kisheria ndio maana Sabaya kafungwa. La hasha.

Kuna Wabunge wapo bungeni Leo bila kuwa na chama. Na wameingia kimizengwe mizengwe. Serikali iko kimya akuna anayeshugulika na uvunjifu huo wa Katiba.

Sheria na Katiba inatambua haki ya vyama shindani kufanya mikutano ya kisiasa. Sasa utawala umeharamisha waziwazi mikutano ya nje na ndani na hakuna anayekohoa.

Kwenye Sheria za kiutumishi wa umma 2% annual salary increment ipo kisheria lkn ndani ya utawala mpya imefinywa pia.

Nachotaka kusema hapa NI kuwa nje ya uhalifu wa Sabaya Kuna Mambo hakuwa sawa na mamlaka. Na hukumu yake ikawe funzo kwa watu wote ambao wanazani bado Wana nguvu na wanaongozwa na mtu aliyetangulia mbele ya haki na kuendelea kumuheshimu na kumtukuza yeye na kuweka kiburi na kumdharau kiongozi aliyopo.

Sabaya akijua alipokosea ajisahishe akate rufaaaa. Sisi wabongo Sheria bado Sana ndio maana Mdee NI Mbunge mpaka leo
Mix-up of issues.........umechanganya madawa
 
Hata kama mahakama zetu huingiliwa maamuzi na wanasiasa, lakini inafahamika mahakama ni uwanja wa sheria, sio wa siasa, ila Sabaya akate rufaa na kushinda ni lazima awe na support ya facts zikiwa supported na sheria, na kimsingi hana ndio maana jana akakutwa na hatia, kinyume na hapo atashindwa rufaa yake.
 
Si kweli eti utawala huu unatenda haki na kufata Misingi ya kisheria ndio maana Sabaya kafungwa. La hasha.

Kuna Wabunge wapo bungeni Leo bila kuwa na chama. Na wameingia kimizengwe mizengwe. Serikali iko kimya akuna anayeshugulika na uvunjifu huo wa Katiba.

Sheria na Katiba inatambua haki ya vyama shindani kufanya mikutano ya kisiasa. Sasa utawala umeharamisha waziwazi mikutano ya nje na ndani na hakuna anayekohoa.

Kwenye Sheria za kiutumishi wa umma 2% annual salary increment ipo kisheria lkn ndani ya utawala mpya imefinywa pia.

Nachotaka kusema hapa NI kuwa nje ya uhalifu wa Sabaya Kuna Mambo hakuwa sawa na mamlaka. Na hukumu yake ikawe funzo kwa watu wote ambao wanazani bado Wana nguvu na wanaongozwa na mtu aliyetangulia mbele ya haki na kuendelea kumuheshimu na kumtukuza yeye na kuweka kiburi na kumdharau kiongozi aliyopo.

Sabaya akijua alipokosea ajisahishe akate rufaaaa. Sisi wabongo Sheria bado Sana ndio maana Mdee NI Mbunge mpaka leo
Umeandika hovyohovyo hueleweki mada ninini!!
 
Si kweli eti utawala huu unatenda haki na kufata Misingi ya kisheria ndio maana Sabaya kafungwa. La hasha.

Kuna Wabunge wapo bungeni Leo bila kuwa na chama. Na wameingia kimizengwe mizengwe. Serikali iko kimya akuna anayeshugulika na uvunjifu huo wa Katiba.

Sheria na Katiba inatambua haki ya vyama shindani kufanya mikutano ya kisiasa. Sasa utawala umeharamisha waziwazi mikutano ya nje na ndani na hakuna anayekohoa.

Kwenye Sheria za kiutumishi wa umma 2% annual salary increment ipo kisheria lkn ndani ya utawala mpya imefinywa pia.

Nachotaka kusema hapa NI kuwa nje ya uhalifu wa Sabaya Kuna Mambo hakuwa sawa na mamlaka. Na hukumu yake ikawe funzo kwa watu wote ambao wanazani bado Wana nguvu na wanaongozwa na mtu aliyetangulia mbele ya haki na kuendelea kumuheshimu na kumtukuza yeye na kuweka kiburi na kumdharau kiongozi aliyopo.

Sabaya akijua alipokosea ajisahishe akate rufaaaa. Sisi wabongo Sheria bado Sana ndio maana Mdee NI Mbunge mpaka leo
Duu kimeumana!!!!!, mbona hakieleweki ni nini unataka kwenye hukumu ya sabaya
 
Si kweli eti utawala huu unatenda haki na kufata Misingi ya kisheria ndio maana Sabaya kafungwa. La hasha.

Kuna Wabunge wapo bungeni Leo bila kuwa na chama. Na wameingia kimizengwe mizengwe. Serikali iko kimya akuna anayeshugulika na uvunjifu huo wa Katiba.

Sheria na Katiba inatambua haki ya vyama shindani kufanya mikutano ya kisiasa. Sasa utawala umeharamisha waziwazi mikutano ya nje na ndani na hakuna anayekohoa.

Kwenye Sheria za kiutumishi wa umma 2% annual salary increment ipo kisheria lkn ndani ya utawala mpya imefinywa pia.

Nachotaka kusema hapa NI kuwa nje ya uhalifu wa Sabaya Kuna Mambo hakuwa sawa na mamlaka. Na hukumu yake ikawe funzo kwa watu wote ambao wanazani bado Wana nguvu na wanaongozwa na mtu aliyetangulia mbele ya haki na kuendelea kumuheshimu na kumtukuza yeye na kuweka kiburi na kumdharau kiongozi aliyopo.

Sabaya akijua alipokosea ajisahishe akate rufaaaa. Sisi wabongo Sheria bado Sana ndio maana Mdee NI Mbunge mpaka leo
Kichwa cha habari na ulichoandika ni vitu viwili tofauti
 
Sasa mtu anashindaje wakati kwenye kujitetea yeye mwenyewe amekiri kwa mdomo wake kuwa ni kweli alitenda, Ila alikuwa anatekeleza maagizo kutoka juu
 
Hoja yako ni nini hapa we dogo?
weli eti utawala huu unatenda haki na kufata Misingi ya kisheria ndio maana Sabaya kafungwa. La hasha.

Kuna Wabunge wapo bungeni Leo bila kuwa na chama. Na wameingia kimizengwe mizengwe. Serikali iko kimya akuna anayeshugulika na uvunjifu huo wa Katiba.

Sheria na Katiba inatambua haki ya vyama shindani kufanya mikutano ya kisiasa. Sasa utawala umeharamisha waziwazi mikutano ya nje na ndani na hakuna anayekohoa.

Kwenye Sheria za kiutumishi wa umma 2% annual salary increment ipo kisheria lkn ndani ya utawala mpya imefinywa pia.

Nachotaka kusema hapa NI kuwa nje ya uhalifu wa Sabaya Kuna Mambo hakuwa sawa na mamlaka. Na hukumu yake ikawe funzo kwa watu wote ambao wanazani bado Wana nguvu na wanaongozwa na mtu aliyetangulia mbele ya haki na kuendelea kumuheshimu na kumtukuza yeye na kuweka kiburi na kumdharau kiongozi aliyopo.

Sabaya akijua alipokosea ajisahishe akate rufaaaa. Sisi wabongo Sheria bado Sana ndio maana Mdee NI Mbunge mpaka leo
 
Sasa mtu anashindaje wakati kwenye kujitetea yeye mwenyewe amekiri kwa mdomo wake kuwa ni kweli alitenda, Ila alikuwa anatekeleza maagizo kutoka juu
Usikiagi ile kauli ya dpp ameona Hana haja ya kuendelea na kesi.
 
Hata akiachiwa kesho, manyapara yatakuwa yameshamwonjapo!
 
Back
Top Bottom