Wanayopitia Man City & Man U ingekuwa Yanga au Simba sijui ingekuwaje?

Wanayopitia Man City & Man U ingekuwa Yanga au Simba sijui ingekuwaje?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Jinsi Simba na Yanga zinavyoendeshwa kisiasa, hali ya uduni wa uchezaji na uhaba wa matokeo ya ushindi wanayokumbana nayo Manchester United na Manchester city, ingekuwa Kwa timu hizo za Kariakoo sijui ingekuwaje🤔

Mawaziri mpaka Rais angeingilia kati. Simba na Yanga zinaua Mpira wa Tanzania kwa kulazimisha lazima zishinde Kwa manufaa ya wanasiasa.

Ligi yetu ili iwe Bora ni lazima Simba au Yanga kuna wakati zinatakiwa ziwe zinapitia Hali wanayopitia Man U na Man City kwa Sasa😆
 
Jinsi Simba na Yanga zinavyoendeshwa kisiasa, hali ya uduni wa uchezaji na uhaba wa matokeo ya ushindi wanayokumbana nayo Manchester United na Manchester city, ingekuwa Kwa timu hizo za Kariakoo sijui ingekuwaje🤔

Mawaziri mpaka Rais angeingilia kati. Simba na Yanga zinaua Mpira wa Tanzania kwa kulazimisha lazima zishinde Kwa manufaa ya wanasiasa.

Ligi yetu ili iwe Bora ni lazima Simba au Yanga kuna wakati zinatakiwa ziwe zinapitiq Hali wanayopitia Man U na Man City.
Wabongo umetusahau mkuu lazima tuwe na wachache walioko juu wengine wabaki katikati hatutaki kuwa na wengi.
 
Kwaa
Jinsi Simba na Yanga zinavyoendeshwa kisiasa, hali ya uduni wa uchezaji na uhaba wa matokeo ya ushindi wanayokumbana nayo Manchester United na Manchester city, ingekuwa Kwa timu hizo za Kariakoo sijui ingekuwaje🤔

Mawaziri mpaka Rais angeingilia kati. Simba na Yanga zinaua Mpira wa Tanzania kwa kulazimisha lazima zishinde Kwa manufaa ya wanasiasa.

Ligi yetu ili iwe Bora ni lazima Simba au Yanga kuna wakati zinatakiwa ziwe zinapitia Hali wanayopitia Man U na Man City kwa Sasa
Kwaani hazijawahi kupitia??
 
Wenzetu ni professsional. Huku kwetu wagonga ulimbo ni siasa tu, kila mtu mchambuzi wa soka.
 
Sisi Waafrika ni waigizaji wa mambo mengi kwenye maisha yetu
 
Jinsi Simba na Yanga zinavyoendeshwa kisiasa, hali ya uduni wa uchezaji na uhaba wa matokeo ya ushindi wanayokumbana nayo Manchester United na Manchester city, ingekuwa Kwa timu hizo za Kariakoo sijui ingekuwaje🤔

Mawaziri mpaka Rais angeingilia kati. Simba na Yanga zinaua Mpira wa Tanzania kwa kulazimisha lazima zishinde Kwa manufaa ya wanasiasa.

Ligi yetu ili iwe Bora ni lazima Simba au Yanga kuna wakati zinatakiwa ziwe zinapitia Hali wanayopitia Man U na Man City kwa Sasa😆
Jinsi Simba na Yanga zinavyoendeshwa kisiasa, hali ya uduni wa uchezaji na uhaba wa matokeo ya ushindi wanayokumbana nayo Manchester United na Manchester city, ingekuwa Kwa timu hizo za Kariakoo sijui ingekuwaje🤔

Mawaziri mpaka Rais angeingilia kati. Simba na Yanga zinaua Mpira wa Tanzania kwa kulazimisha lazima zishinde Kwa manufaa ya wanasiasa.

Ligi yetu ili iwe Bora ni lazima Simba au Yanga kuna wakati zinatakiwa ziwe zinapitia Hali wanayopitia Man U na Man City kwa Sasa😆
Man City wanaigiza kupoteana ili zile kesi zao zipungue makali,ngojeni wamalizane ndio mtauona moto wao
 
simba na yanga kamwe haziwezi kuja kupitia kwenye kipind kama hicho sababu aina ya ligi wanayochezena ina upangaji mkubwa wa matokeo
 
Jinsi Simba na Yanga zinavyoendeshwa kisiasa, hali ya uduni wa uchezaji na uhaba wa matokeo ya ushindi wanayokumbana nayo Manchester United na Manchester city, ingekuwa Kwa timu hizo za Kariakoo sijui ingekuwaje🤔

Mawaziri mpaka Rais angeingilia kati. Simba na Yanga zinaua Mpira wa Tanzania kwa kulazimisha lazima zishinde Kwa manufaa ya wanasiasa.

Ligi yetu ili iwe Bora ni lazima Simba au Yanga kuna wakati zinatakiwa ziwe zinapitia Hali wanayopitia Man U na Man City kwa Sasa😆
Ligi ya Tanzania ni Takataka kabisa.
 
Ukweli lazima usemwe.

Wanaolazimisha kushinda kwa hali yoyote ni Simba sio Yanga.

Huu ni ukweli mchungu ambao lazima tuuseme.
 
Naunga mkono hoja
Kabisa ukiwaambia waoneshe kivipi Yanga analazimisha matokeo hawawezi kukupa ushahidi usioacha shaka zaidi ya ushahidi wa kihisia tu.

Simba waneamua kushinda hili taji mwaka huu kivyovyote ndiyo maana wakaja na kauli mbiu ya ubaya ubwela.

Wapenzi wa michezo lazima tuliweke hili jambo sawa.
 
Simba walishapitia ayo 1987,88 , 89 mfulululizo ila Yanga na Serikali walifanya juhudi kubwa kuendelea kuwepo kwa Simba.

Wenzake Mseto, Tumbaku, Pan, Cosmo, Red star, Sigara, Prisner tumesha wasahau kama walikuwepo.
 
Back
Top Bottom