wanazengo nimewamiss

wanazengo nimewamiss

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Halaaaa Mama Sabrina nimewamiss wanachit chat mjue nini mapenzi tu nakuwa busy na baby sanaa mpaka anapasahau huku ,basi basi toka nimpate G nalala vizurii nimekuwa mwingi wa furaha sana na matumaini mapya ndani ya moyo wangu,hakuna kitu kizuri kama mwanaume akikupenda basi dunia utaona yako,upendo ni kitu muhimu sana , Mwanaume akikuoneshea upendo urudishe mara 10000 sio lazima akupe maghorofa au magari ya kifahari hapana hivyo vingine mtatafuta pamoja cha muhimu upendo tu,mfano mi na G wangi ni maskini tu mim na yeye lakin tunavyopendana weee kama Bilgate na Melinda tunajiona tuna kila kitu aisee upendo muhimu kabisa ,kama una mtu hana love halaf anakuambia anakupenda guna mara tatu endelea na maisha yako ,mtu hakujali ,kwenye huzuni yako hayupo na wewe ,hajali umekula nini,we jua tu uko single tu tafuta wengine
Ni hvi mwenzenu huwa naota napaa kama vile superman eeh au nanyoosha mkono halaf napaa juu ,saa zingine naots nipo kwenye movie kama za arnod au zingine ,mara nakimbizwaa mara naota napotea natokezea sehemu nyingine hivi wapenzi wa jf na nyie huwatokea hii hali ya kuota hivi,.
saa nyingine unaota unakimbizwaaa weeeeeeew halaf unapotea unatokezea kwinginee basi nikiotaga napaa nafurahiaaa nakuwa juu ya mawingu
napenda kuota ndoto nzuri nzurii tu zile mbaya sipendii kabisa

Nawatakia siku njema tu tunawapa hi
 
TANZANIAN POLICE OFFICER HIRED FRIEND TO GET HIS WIFE PREGNANT, TAKES HIM TO COURT FOR FAILING TO IMPREGNATE HER AFTER 77 TIMES



In Dar-es-Salaam, a Tanzanian Court must decide on a honorable intentions in a case where a man hired his neighbor to get his wife pregnant.



It seems that Darius Makambako 50 with his wife Precious 45, really wanted to have a child, but the renowned doctor had told the couple,the husband was sterile. There was no doubt, the couple was tired of being in a 23 year childless marriage.



So Makambako, a member of the Tanzanian Police Force (Traffic Department), after claiming his wife’s protests, hired his neighbor Evans Mastano, 52, a fellow police officer in the country’s commercial city of Dar-es-Salaam to impregnate his wife.



Since Evans was already married and the father of two beautiful daughters, plus he looked very much like Darius to the boot, the plan seemed good.



Makambako paid Mastano 2,000,000 Tanzanian Shillings for the job and for three evenings a week for the next 10 months in 2016.



Evans tried desperately, a total 77 different times to impregnate his friend’s wife Precious, but failed terribly.



Reports say Precious, a nurse at a private clinic had decided to get a three months vacation leave (March to June 2016) to dedicate her time to sleeping with her husband’s best friend and neighbor in order to have her first child, but the man failed to impregnate her despite the husband leaving them in bed the whole day in most times.



And when Precious failed to get pregnant for 10 months, however, Makambako was not understanding and insisted that Evans have a medical examination, which he did in January 2017.



The doctor’s pronouncement that Evans Mastano was also sterile shocked everyone except his (Evan's) wife, who was forced to confess that Evans was not the real father of her two children, but were for his cousin, Edward.



“I was forced to secretly sleep with Edward, his first cousin to have these two children after realizing that my husband could not impregnate me for two years”, Angela told the Dar-es-Salaam Today News.



Now Makamboko is suing Evans for breach of contract in an effort to get his money back, but Evans refuses to give it up because he said he did not guarantee conception, but only that he would give an honest effort.

.



Source: DAR-ES-SALAAM TODAY.
 
Sawaaa mama ukishikwaa shikamana akikaza legeza akikata we zungusha akipanda we kata akishusha mnyanyulie amalizee......akilamba we mnyonye hayo ndo mapenzi.......usiku mwema kipenzi

Mambembe nimeshikwa nimeshikamana,akilegeza nakaza,akiingiza nazungusha akikamata nakamatilia heheheh rahaaa jamanii
usiku mwema nawe mpenzi
 
Back
Top Bottom