wanazengo nimewamiss

wanazengo nimewamiss

Inamaana ndio rasmi unatumwaga na kutumiminia mbali kwamba umetunyima Sabrina? Basi fanyenifanyeni na G mtuletee kifaa kingine brand new.

Subiria subiria ,subira yavuta kheri nikishusha vitu ntakutaarifu
 
Sawaaa mama ukishikwaa shikamana akikaza legeza akikata we zungusha akipanda we kata akishusha mnyanyulie amalizee......akilamba we mnyonye hayo ndo mapenzi.......usiku mwema kipenzi
Akikata kulia wee kata kushoto maana kupishana kwa vyuma ndio huwasha moto
 
Hahahahaha Wanaume wa siku hizi usipo kuwa na xrta qualification my dear utaachwa solemba wanaume kama watoto wataka malezi besti oooho
Maneno yako matano au sita ya mwisho nimeyapenda na nimeyapa alama za juu sana
 
Back
Top Bottom